Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Prezzo — Bila Mundai

Wimbo mpya kutoka kwa msanii Prezzo kutoka Kenya anakuletea single yake inaitwa “Bila Mundai”

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu hii ni ngoma mpya kutoka kwa Prezzo “Bila Mundai”

pREZZOCMB

Kichwa cha 254,Prezzo,Mr.Trendsetter,mzee wa swagg chafu,baada ya kimya cha muda kidogo, anakuja tena na ngoma yake mpya inayoitwa “Bila Mundai”,ipate bila mundai kwenye mkito hapa https://mkito.com/song/bila-mundai-prezzo/6521 ,kwa mahojiano,bookings na inquiries kuhusu Prezzo call +255787276352 au andika barua pepe kwenda bookings.prezzo@gmail.com

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Ervixy f/ Belle 9 & Prezzo – Basi

Ngoma mpya kutoka kwa msanii wa Kenya, Ervixy f/ Belle 9 & Prezzo – Basi. Imetayarishwa na Sappy kupitia Sappy Music Lab ya Nairobi Kenya. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Music: The Creme De La Creme F/ Bigpin, Prezzo, AY & Ulopa – Sijakusahau

image1

Ngoma mpya ya DJ wa Kenya, The Creme De La Creme aliowashirikisha Bigpin, Prezzo, AY & Ulopa. Ni ngoma ambayo rappers hao wamewakumbuka watu muhimu katika maisha yao waliotangulia mbele ya haki. Isikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Bila Lollypop nisingekuwa hapa nilipo leo – Mo Music

Mo Music

Muimbaji wa ‘Basi Nenda’ Moshi Katemi maarufu kama Mo Music, amesema kuwa bila kufanya kazi na mtayarishaji na mwandishi wa nyimbo Lollypop huenda angechukua muda mrefu sana kufikia mafanikio aliyonayo sasa.

Mo Music

Lollypop ndiye mwandishi wa ‘Basi Nenda’, wimbo uliomtambulisha na kumfungulia njia Mo Music kwenye game ya Bongo fleva.

“Lolly Pop anajua uwezo wangu wa uimbaji ukoje na ananisapoti sana, bila Lolly pop nafikiri MO Music angechelewa sana kuanzia kwenye basi nenda mpaka sasa hivi,...

 

10 years ago

TheCitizen

For once, I am contemplating becoming the next prezzo!

It is true that every Tom, Dick and Harry is elbowing his way to the State House and why not I, the poor son of this rat infested Uswaz? That is why I am in the village to drum up support for my election to the hallowed house.

 

11 years ago

GPL

WEMA AWAGOMBANISHA DIAMOND, PREZZO

Stori: Musa Mateja
RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul  ‘Diamond’ yuko ndani ya bifu zito na mwanamuziki kiwango cha juu kutoka nchini Kenya, Jackson Ngechu Makini ‘Prezzo’ chanzo kikidaiwa ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Diva wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye'. Bifu la wawili hao limekuja kufuatia madai kwamba, Prezzo amemtundika Diamond kwenye mtandao akimkejeli kwa kitendo...

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo amtambulisha mpenzi mpya

PrezzoNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amemtambulisha mpenzi wake mpya kupitia akaunti yake ya Instagram.

Msanii huyo kwa sasa anajulikana kwa jina la ‘Mfalme Mswati’ kutokana na tabia yake ya kubadilisha wasichana kila baada ya muda.

Siku za hivi karibuni msanii huyo alionekana kuwa mtulivu tofauti na miaka iliyopita, ambapo msanii huyo alikuwa na sifa ya kugombanisha warembo, lakini kwa sasa amekuwa na aina mpya ya kubadilisha wasichana kila...

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo akumbuka alivyotoswa na Cash Money

prezzoNAIROBI, Kenya

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, bado anakumbuka jinsi alivyotoswa na bosi wa kundi la Young Money Cash Money, Birdman, alipokwenda kuomba kujiunga na kundi hilo nchini Marekani.

Prezzo alitaka kujiunga na kundi hilo akidhani angekuwa mwakilishi kwa bara la Afrika, lakini bosi wa kundi hilo alikataa kwa madai kwamba msanii huyo wa Kenya hana kipato kikubwa kama wasanii wa kundi hilo.

“Nilifanikiwa kukutana na Birdman, lakini ilikuwa ngumu kupiga naye...

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo anatarajia kupata mtoto wa pili

PREZZO (1)NAIROBI, Kenya

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’ anatarajia mtoto wa kiume hivi karibuni.

Prezzo amempa jina la Gabriel mtoto huyo kabla hajazaliwa. Msanii huyo mpaka sasa hajaoa, lakini ana mtoto mmoja na sasa anatarajia kupata mtoto wa pili.

“Natarajia mtoto wa kiume siku yoyote, ni furaha kubwa kupata mtoto wa kiume kwa kuwa naamini ataiga mambo yangu mengi, ikiwemo aina ya mavazi ninayopenda kuvaa.

“Nimeamua kumpa jina mapema kabla ya kuzaliwa kwa kuwa najua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani