Bila UKAWA CCM haing’oki — Zitto
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa mwanasiasa yeyote makini kutoka vyama vya upinzani mwenye dhamira ya kuiondosha madarakani Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hawezi kukwepa kufanya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-p35l6gt1wTg/VIsCBs2DETI/AAAAAAAAsAc/09TD7AyRAG0/s1600/akisalimia%2Bwenyeji.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Q6du6HJbrXg/VIsCMCd63OI/AAAAAAAAsA8/JjMf1_V_1bM/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kbQPDHu-riY/VIsCKPhtnMI/AAAAAAAAsA0/rA1YktzWhOE/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iDc9LJBv3d0/VIsCDN96E9I/AAAAAAAAsAk/CN21fp_tq8U/s1600/baada%2Bya%2Bkuwasili.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HNlvstP8i8Q/VIsCHo47LuI/AAAAAAAAsAs/f3HGzwRKlWg/s1600/lwiza%2Bmbutu%2Bna%2BTwanga%2Bwakikamua.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Aug
CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]
10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Bila Ukawa hakuna Katiba’
11 years ago
Habarileo04 Aug
Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ukawa: Zitto usituingilie
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
Na Patricia Kimelemeta
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kuacha kuwaingilia kwenye mambo kwa vile hayamhusu.
Kauli ya Ukawa imekuja siku moja baada ya Zitto kusema hana uhakika na wala haamini kama umoja huo utakuwa endelevu hadi uchaguzi mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana kisha kugawanyika.
Alisema siku zote Watanzania wanapenda kuwa na upinzani imara...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ac4N_8JVY6k/VLkwnOk98PI/AAAAAAAG93U/VE37c4_f4yk/s72-c/DSC_0735.jpg)
SING’OKI NG’O TLP- MREMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ac4N_8JVY6k/VLkwnOk98PI/AAAAAAAG93U/VE37c4_f4yk/s1600/DSC_0735.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP,Agustine Lyatonga Mrema amesema hangoki ng’o katika nafasi ya uenyekiti TLP.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magomeni jijini Dar es salaam leo,Mrema amesema hajavunja katiba ya TLP hivyo yeye ni mwenyekiti halali.
Mrema amesema watu wanampiga majungu wakiwemo na UKAWA katika kuhakikisha TLP inasambaratika ,lakini hawataweza pamoja na kikundi hicho cha panya road.
Amesema kikundi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqttt2Y1*gm1n*vcILczY4hFxkWmp-L0t58sQfZ78D5zrsKwmQxL8*wfRhtg3MgeaGdRVeTRYtF6H8YdS8tt62X/frontpageuwazimizengwecopy.jpg?width=650)
ZITTO,UKAWA NGOMA NZITO
11 years ago
Habarileo31 Jul
Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.