Bilionea alivyopanga mauaji
MFANYABIASHARA bilionea anayemiliki vitalu vya kuchimba madini ya tanzanite huko Mirerani mkoani Manyara, Joseph Damas, maarufu kwa jina la ‘Chusa’, ndiye anayedaiwa kupanga mauaji ya bilionea mwenzake wa madini, Erasto...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
'Mauaji ya Bilionea Msuya yalisukwa hivi'
Korti yaelezwa simu zilivyonunuliwa , Tanzanite ilitumika kama chambo
Erasto Msuya
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.
Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Erasto-11Feb2015.jpg)
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.
Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya
Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mererani, Erasto Msuya litawekwa hadharani wiki ijayo wakati mashahidi 50 wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mtuhumiwa mauaji ya bilionea Msuya aachiwa huru
OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini imemfutia kesi ya mauaji ya kukusudia mfanyabiashara Joseph Damas ‘Chusa’ anayetuhumiwa kumuua mfanyabiashara mwenzake wa madini ya tanzanite, Erasto Msuya (43). Hati ya kumwachia...
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MAUAJI YA BILIONEA MSUYA YALISUKWA HIVI...HATARI SANA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-P8u0sTjfqh8%2FVN1AVeMdPkI%2FAAAAAAADYAk%2FCcvXM9MFHjU%2Fs1600%2Fbilionea.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-YZ5rH4ohbG8%2FVN1AVZe2b9I%2FAAAAAAADYAg%2FiJaDNJO51gk%2Fs1600%2Ferasto%252Bmsuya.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Vijimambo08 Oct
Mabishano makali yaibuka kesi mauaji bilionea Msuya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mahakama-08Oct2015(1).png)
Baadhi ya washtakiwa wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya, wakitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi jana, baada ya kusikiliza ushahidi unaotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka. PICHA NA GODFREY MUSHIMahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imeipokea ripoti ya uchunguzi wa kifo cha mfanyabiashara bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), iliyosainiwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai, Dk. Paul Chaote,...
11 years ago
MichuziMMOJA AACHIWA HURU KESI YA MAUAJI YA BILIONEA WA MADINI ERASTO MSUYA
OFISI ya mkurugenzi wa Mashtaka Nchini imemfutia mashtaka ya mauaji,mmoja kati ya watuhumiwa nane wa mauaji ya kukusudia dhidi ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite bilionea , Erasto Msuya (43).
Hati ambayo imetumika kumwachia huru Joseph Damas (Chusa) ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa madini hayo imetolewa na kusainiwa na mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Elieza Feleshi na kisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuiwasilisha kwa Hakimu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s72-c/fuime_2.jpg)
GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s1600/fuime_2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_100557_001.jpg)
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BL7ffa8fjoc/Xnxd-8PWteI/AAAAAAAAI3A/rPPCQICNfIMspYar5UxMxC29Jk4Xe-JYwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_101415_806.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0lTGQFCnYo/XnylgUVdMQI/AAAAAAAAI3g/4jj4AoCrXuE8KdlcgYiEGDqvsdWTDT8pQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
5 years ago
CCM Blog01 Jun
MAUAJI YA MMAREKANI MWEUSI: WAKILI AYAITA MAUAJI YALIYOPANGWA
![Waandamanaji wakipiga magoti kusali katika viwanja vya Lafayette karibu na Ikulu ya Marekani mjini Washington DC](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/18355/production/_112575199_43b435c7-a314-4d46-986f-3c8a7e0a088e.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania