Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 3.4/- zahitaji kukamilisha ujenzi wa hospitali Serengeti

JUMLA ya Sh bilioni 3.4 zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa majengo ya wagonjwa wa nje katika Hospitali ya kisasa ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mil. 65/- kukamilisha ujenzi Hospitali Ngamiani

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga sh milioni 65 kukamilisha ujenzi  wa jengo la kliniki, wodi ya watoto na stoo ya dawa katika Hospitali ya Ngamiani. Diwani wa Majengo, Mohamed...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATOA SH. BILIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE, MARA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu(kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima wakati walipokutana mkoani Marawakati Mawaziri hao walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyopo mkoani Mara

Na Mwandishi Wetu, Musoma.
Rais Dk. John Magufuli ametoa Sh. Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufani ya...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...

Barabara ya Tunduma-Ikana-Laela hadi Sumbawanga ikiwa imekamilika kwa asilimia mia moja (100%), barabara hii ambayo ni kiungo muhimu cha Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi, Kigoma na Tabora imejegwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Msaada kutoka kwa watu wa Marekani.Waziri wa Wizara ya Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mjini Sumbawanga tarehe 02/02/2015 katika viwanja vya Nelson Mandela akiwa ziarani Mkoani Rukwa kukagua ujenzi unaoendelea wa barabara za lami za...

 

5 years ago

Michuzi

NHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA

Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lililopo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoani Kagera likiwa katika hatua za ukamilishaji kama linavyoonekana. (PICHA ZOTE NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI)

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA UJENZI WA MADARAJA YA ULONGONI A NA B UKONGA

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwitan Waitara akizungumza wakati wa kukagua maandalizi ya ujenzi wa Daraja la Ulongoni A na ujenzi wa kivuko cha muda cha watembea kwa miguu, Bodaboda na Bajaji katika Jimbo hilo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto. Picha na Richard Mwaikenda
 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI UMMY AUPATIA UONGOZI WA MKOA WA SINGIDA MIEZI SITA KUKAMILISHA VYUMBA VYA HOSPITALI



*****************************

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameupa uongozi wa Mkoa wa Singida miezi sita kuhakikisha unasimamia ujenzi wa jengo lenye vyumba vya Radiolojia, Maabara, Chumba cha upasuaji na Wodi ili uweze kukamilika na kuanza kutoa huduma ifikapo terehe 30 Disemba mwaka huu.

Waziri Ummy ametoa wito huo mapema leo wakati alipotembelea ujenzi wa jengo hilo ambalo bado lipo katika hatua ya msingi linalopatikana katika Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa wa Singida. “Wizara imetoa...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba

SAM_2012

Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2010

SAM_2014

Na Jumbe Ismailly, Iramba     

MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limeweka historia ya ukamilishaji wa miradi mikubwa kwa kipidi cha miaka mitano ya uongozi wa Mhe. Rais Dk. John Magufuli iliyogharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 231.8.
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.


 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.

Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani