Bilioni 3.4/- zahitaji kukamilisha ujenzi wa hospitali Serengeti
JUMLA ya Sh bilioni 3.4 zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa majengo ya wagonjwa wa nje katika Hospitali ya kisasa ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Mil. 65/- kukamilisha ujenzi Hospitali Ngamiani
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga sh milioni 65 kukamilisha ujenzi wa jengo la kliniki, wodi ya watoto na stoo ya dawa katika Hospitali ya Ngamiani. Diwani wa Majengo, Mohamed...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATOA SH. BILIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE, MARA
Na Mwandishi Wetu, Musoma.
Rais Dk. John Magufuli ametoa Sh. Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s72-c/NHC-4-768x512.jpg)
NHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s640/NHC-4-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGnZW9a_dA0/XoBTmlg4hZI/AAAAAAALlcY/9QT58VHOaHA4p5MxWoRS7L0fFQKiZPSCwCLcBGAsYHQ/s640/NHC-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...
5 years ago
CCM BlogWAITARA AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA UJENZI WA MADARAJA YA ULONGONI A NA B UKONGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-95wwaP9JvO8/XtfrgkDdqmI/AAAAAAALsi4/6p4tLteqG5MWCnp16qKItIGbcUE-59XeQCLcBGAsYHQ/s72-c/eeb60947-8514-4d95-a702-10d0e5248794.jpg)
WAZIRI UMMY AUPATIA UONGOZI WA MKOA WA SINGIDA MIEZI SITA KUKAMILISHA VYUMBA VYA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-95wwaP9JvO8/XtfrgkDdqmI/AAAAAAALsi4/6p4tLteqG5MWCnp16qKItIGbcUE-59XeQCLcBGAsYHQ/s640/eeb60947-8514-4d95-a702-10d0e5248794.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5956867e-0275-413c-b406-20354b54c5cb.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9c22522-e13f-4141-998d-1130e597eaca.jpg)
*****************************
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameupa uongozi wa Mkoa wa Singida miezi sita kuhakikisha unasimamia ujenzi wa jengo lenye vyumba vya Radiolojia, Maabara, Chumba cha upasuaji na Wodi ili uweze kukamilika na kuanza kutoa huduma ifikapo terehe 30 Disemba mwaka huu.
Waziri Ummy ametoa wito huo mapema leo wakati alipotembelea ujenzi wa jengo hilo ambalo bado lipo katika hatua ya msingi linalopatikana katika Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa wa Singida. “Wizara imetoa...
10 years ago
Dewji Blog11 May
TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba
Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...