Mil. 65/- kukamilisha ujenzi Hospitali Ngamiani
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga sh milioni 65 kukamilisha ujenzi wa jengo la kliniki, wodi ya watoto na stoo ya dawa katika Hospitali ya Ngamiani. Diwani wa Majengo, Mohamed...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
Bilioni 3.4/- zahitaji kukamilisha ujenzi wa hospitali Serengeti
JUMLA ya Sh bilioni 3.4 zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa majengo ya wagonjwa wa nje katika Hospitali ya kisasa ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.
10 years ago
MichuziUJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
5 years ago
MichuziNHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...
5 years ago
CCM BlogWAITARA AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA UJENZI WA MADARAJA YA ULONGONI A NA B UKONGA
Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
5 years ago
MichuziWAZIRI UMMY AUPATIA UONGOZI WA MKOA WA SINGIDA MIEZI SITA KUKAMILISHA VYUMBA VYA HOSPITALI
*****************************
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameupa uongozi wa Mkoa wa Singida miezi sita kuhakikisha unasimamia ujenzi wa jengo lenye vyumba vya Radiolojia, Maabara, Chumba cha upasuaji na Wodi ili uweze kukamilika na kuanza kutoa huduma ifikapo terehe 30 Disemba mwaka huu.
Waziri Ummy ametoa wito huo mapema leo wakati alipotembelea ujenzi wa jengo hilo ambalo bado lipo katika hatua ya msingi linalopatikana katika Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa wa Singida. “Wizara imetoa...
10 years ago
Dewji Blog11 May
TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba
Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...
5 years ago
MichuziBENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
11 years ago
MichuziLUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
10 years ago
Habarileo20 Sep
Aguswa na ujenzi wa maabara na kutoa mil 3/-
MDAU wa Maendeleo ya elimu nchini, Mnandi Mrutu anayefanya shughuli zake mkoani Iringa, ameahidi kutoa Sh milioni tatu ikiwa ni mchango wake kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya Kirongaya ya wilayani Same mkoani Kilimanjaro.