Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binti atafuta mume redioni

Kituo kimoja cha redio kilifurika mamia ya wanaumme ,baada ya msichana mmoja kutangaza kutaka anayetaka kumua ajitokeze

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama atafuta usaidizi kutoka Iran

Gazeti la Marekani limeripoti kuwa rais Obama alimuandikia barua ya siri kiongozi mkuu wa dini nchini Iran,kujadili IS

 

11 years ago

Habarileo

Msajili atafuta muarobaini ghasia uchaguzi mdogo

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini inatafuta njia ya kudhibiti vurugu zinazojitokeza katika uchaguzi mdogo nchini. Hatua hiyo inatokana na kile walichobaini kuwa vurugu hizo hazipaswi kuwepo hasa, ikizingatiwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza

Tehran. Mtu aliyetajwa kuwa mchafu kuliko wote duniani, Amou Haji (80) amesema anajisikia mpweka na sasa anahitaji mwenza wa kusihi naye.

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE: ALLY REHMTULA ATAFUTA MWANAMKE WA KUOA


Ni exclusive news kutoka kwa Fashion Designer Ally Rehmtullah, ambaye 2014 alimake headline kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya kuandaa keki kwenye birthday yake iliyoleta utata katika jamii kufuatia shape ya keki hiyo kuwa na umbile la mwanaume na hatimaye Ally kunyonya umbo lenye shape ya uume kwenye ile keki. Mbali na hilo hii ni mpya nyingine kutoka kwa designer huyo ambaye ametoa exclusive nyingine ya kutafuta mkeWakati akifanya exclusive mahojiano na mwandishi wetu alizungumzia...

 

10 years ago

Mwananchi

Cheyo atafuta wagombea urais kupitia UDP

Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha UDP, amesema wanamkaribisha mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Michuzi

Jux aachia ‘Sisikii’ redioni

Na Andrew Chale
MWANAMUZIKI nyota anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini, Juma Mussa ‘Jux’ anayetamba zaidi  na vibao vya ‘Uzuri wako’ na ‘Nitasubiri’, ameachia rasmi wimbo wake mpya wa ‘Sisikii’ katika stesheni mbalimbali za redio.
Akizungumza jijini Dar es Salaam , Jux alisema wimbo huo wa ‘Sisikii’ ameutengeneza kwa Mtayarishaji  Maneke wa AM rekodi, ambao ni zawadi nyingine kwa mashabiki wake wote duniani.Jux aliwataka kuupokea kwa mikono miwili na wasubiri video ambayo itakuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Jaji Mutungi atafuta upenyo kuwarejesha Ukawa bungeni

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameingilia kati kuondoa changamoto zilizojitokeza katika awamu ya mchakato ya Bunge Maalumu la Katiba ambalo baadhi ya wafuasi wa kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wengi wakiwa viongozi wa vyama vya upinzani, walisusia.

 

10 years ago

Mwananchi

Millard Ayo sasa ni zaidi ya mtangazaji redioni

Aliposhinda tuzo mbili za Mtangazaji Anayependwa na Kipindi Kinachopendwa zilizofanyika kwa mara ya kwanza mwaka jana, wengi waliona amefikia kilele cha mafanikio akiwa mdogo na labda angebweteka.

 

9 years ago

GPL

MRISHO MPOTO ATAFUTA NAULI KWA KUPIGA DEBE KWENYE DALADALA - 4

MPENZI msomaji, wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale alipotua Dar na mama yake, akaanzishwa Shule ya Msingi, Ilala Boma na kipindi hicho walikuwa maskini wa kutupwa kwani maisha yao yalikuwa ya kwenda kuokota vifuu, kuni na kuviuza. Songa nayo mwenyewe... “Mazingira ya nyumba yetu pale Ilala yalikuwa ni kama eneo la kumuelekeza mtu kutokana na jumba bovu nililokuwa nikiishi na mama.”Duh!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani