Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama atafuta usaidizi kutoka Iran

Gazeti la Marekani limeripoti kuwa rais Obama alimuandikia barua ya siri kiongozi mkuu wa dini nchini Iran,kujadili IS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Maafikiano na Iran yataleta amani

Rais Barrack Obama wa Marekani, ameshinikiza kuwa muafaka ulioafikiwa siku ya Jumanne kuhusu mpango wa nuklia wa Iran, umetoa fursa ya kipekee maishani ya kutaka kuwepo kwa mahala salama pa kuishi, ulimwenguni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hisia kutoka Marekani na Iran

Baada kutangazwa muafaka baina ya Iran na mataifa 6 yenye nguvu zaidi duniani Rais Obama na Rouhani wametoa hisia zao

 

9 years ago

BBCSwahili

IMF yasema Nigeria haihitaji usaidizi

Mkuu wa IMF amesema Nigeria kwa sasa haihitaji usaidizi wowote wa kifedha licha ya uchumi wake kuathirika na kushuka kwa bei ya mafuta duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamlaka ya Nepal yaomba usaidizi zaidi

Mamlaka ya Nepal imeomba msaada zaidi wa helikopta kutoka kwa mataifa ya kigeni

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama aing'oa Burundi kutoka kwenye AGOA

Marekani imeiondoa Burundi kutoka kwenye mikataba yake ya kibiashara AGOA iliyowezesha mataifa ya Afrika kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani bila kulipa kodi.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Rais Obama alivyokwenda vichakani na mwingereza mpenda pori maarufu

 Miezi michache iliyopita niliandika habari za Mwingereza maarufu Ewdard “Bear” Grylls. Jamaa huyu mwenye miaka 41 alikuwa askari wa kikosi maalumu, kinachofanya mashambulizi ya siri wakati mgumu, vitani. Sasa vikosi kama hivi (ambavyo huwa vya wapiganaji wachache tu) vinatumika kushambulia magaidi wa Uarabuni wanaokata kata vichwa na kuua wanawake, vilema, watoto na wazee. Neno jingine kuwaeleza laweza kuwa “komando” kwa Kiswahili cha kukopa ..Au “ninja.”

 

10 years ago

BBCSwahili

Binti atafuta mume redioni

Kituo kimoja cha redio kilifurika mamia ya wanaumme ,baada ya msichana mmoja kutangaza kutaka anayetaka kumua ajitokeze

 

11 years ago

Habarileo

Msajili atafuta muarobaini ghasia uchaguzi mdogo

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini inatafuta njia ya kudhibiti vurugu zinazojitokeza katika uchaguzi mdogo nchini. Hatua hiyo inatokana na kile walichobaini kuwa vurugu hizo hazipaswi kuwepo hasa, ikizingatiwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani