‘Binti wa Mtemvu hakubebwa Miss Chang’ombe’
MRATIBU wa shindano la Miss Chang’ombe 2014, Tom Chilala, amesema hakukuwa na upendeleo wowote wa kumtangaza mtoto wa Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, Sitti Mtemvu, kuwa malkia wa kitongoji hicho....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbWsbMMqt9oh*YAgUsPYoBlKbMpTtLnFJrlUygYlGePI9HzO6Lozziz6JOgqaI7ZMkoQskk1aVEIeCcd5klpX7Qa/sitt.jpg)
SITTI MTEMVU KUVUA LA TEMEKE, CHANG’OMBE
Stori: Mwandishi Wetu
HAIJAKAA sawasawa! Siku chache baada ya Sitti Abbas Mtemvu (25) kujivua taji la Miss Tanzania 2014 kwa madai ya kusakamwa na vyombo vya habari kuhusu umri wake, wadau wamemwangushia uwajibikaji mwingine wakimtaka avue mataji mengine mawili. Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Abbas Mtemvu. Baadhi ya wadau wa sanaa waliozungumza na Risasi Mchanganyiko Jumatatu iliyopita jijini Dar walisema kama...
10 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili. Akizungumza ba BONGO 5 jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family amesema mpaka sasa […]
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xn8SLnqmZbg/U6Et8-5kyoI/AAAAAAABA3w/Q0Khv5VQjHA/s72-c/Pix-3.jpg)
MO MUSIC KUTUMBUIZA MISS CHANG'OMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xn8SLnqmZbg/U6Et8-5kyoI/AAAAAAABA3w/Q0Khv5VQjHA/s1600/Pix-3.jpg)
MKALI wa kibao cha Basi Nenda Moshi Katemi 'Mo Music' anatarajia kutumbuiza katika shindano la kanda ya Temeke, litakalofanyika Julai 27, katika ukumbi wa TCC Club Chang’ombe. Mo Music ambae anatamba na kibao hicho atakuwa sambamba na bendi ya Ruvu Stars, mchekeshaji nyota na msanii wa muziki Mussa 'Kitale' na...
11 years ago
MichuziREDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8vKw-0JL2TA/U6rcM_Kg4TI/AAAAAAABBQQ/kkgZ-Ij6v78/s1600/Stopes.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s72-c/MMGM3002.jpg)
Miss Temeke 2014 apatikana usiku huu,TCC Club Chang'ombe jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s1600/MMGM3002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VvRpsM7jSYs/U_fm8wKDiAI/AAAAAAAGBgA/P1lgmQnt2mA/s1600/MMGM3020.jpg)
Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji hilo usiku huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WcZp3e7zJ4g/U_fm9aYJcDI/AAAAAAAGBgE/-5ac9OFfJn4/s1600/MMGM2844.jpg)
10 years ago
MichuziRedd's Miss Temeke kujulikana ijumaa ndani ya TCC Club,Chang'ombe, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPLREDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA
Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano wa TV1, Mponjoli Katule.…
10 years ago
Mwananchi22 Oct
YP kuzikwa leo makaburi ya Chang’ombe
Msanii wa kundi la muziki la TMK Wanaume Family, Yesaya Ambikile ‘YP’ amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Temeke alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu ya kifua.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania