Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter ayasifu mataifa madogo Brazil

Rais wa FIFA Sepp Blatter ameyasifu mataifa madogo kwa kuyaadhibu mataifa 'makubwa ' Brazil

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makalio madogo kikwazo Venezuela

Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu kuongeza ukubwa wa makalio na kujiletea madhara makubwa ya kiafya

 

5 years ago

Habarileo

Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbowe asema migogoro ya Ukawa ni mambo madogo

Wakati mzozo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ukishika kasi katika maeneo mbalimbali nchini, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema hayo ni mambo madogo na umoja bado uko imara.

 

11 years ago

Habarileo

DC ashauri matrekta madogo yasiwe ya kubeba mizigo

WAKULIMA wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameonywa kuacha kubadilisha matumizi sahihi ya matrekta madogo ya kilimo (Power Tillers), kwa kubebea mizigo kwenye minada pamoja na kwenye magulio sanjari na kubebea abiria.

 

11 years ago

Dewji Blog

JK: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme

o1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani  Agosti 6, 2014.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi: Msaidieni Rais kukamua majipu madogo

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewataka viongozi wa dini kuihamasisha jamii kumsaidia Rais John Magufuli kukamua majipu madogomadogo ambayo yapo kila mahali nchini na kumuachia mkuu huyo wa nchi yake makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Msuya amtaka JK apuuze mambo madogo bungeni

Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya amemshauri Rais Jakaya Kikwete kupuuza matatizo madogomadogo yanayojitokeza katika Bunge Maalumu la Katiba badala yake asimamie uamuzi ya Bunge hilo ili kupata Katiba ambayo itaongoza nchi kwa amani.

 

5 years ago

Bongo5

‘Mh Rais, majipu unayotumbua wewe ni madogo madogo’ – Askofu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli sikukuu ya Pasaka, waliungana na waumini wa kanisa la Africa Inland – Tanzania Dayosisi ya Pwani Pastorate ya Magomeni kusali ibada ya Pasaka.

Katika ibada hiyo Askofu wa Kanisa la Africa Inland – Tanzania Baba Askofu Charles Salalah aliongoza maombi ya kumuombea Rais Magufuli na kumpongeza kwa kazi kubwa ya kurekebisha mambo yote yasiyofaa nchini ikiwemo kuwaondoa viongozi wanaotumia madaraka yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani