Blatter ayasifu mataifa madogo Brazil
Rais wa FIFA Sepp Blatter ameyasifu mataifa madogo kwa kuyaadhibu mataifa 'makubwa ' Brazil
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Makalio madogo kikwazo Venezuela
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Mbowe asema migogoro ya Ukawa ni mambo madogo
11 years ago
Habarileo20 Dec
DC ashauri matrekta madogo yasiwe ya kubeba mizigo
WAKULIMA wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameonywa kuacha kubadilisha matumizi sahihi ya matrekta madogo ya kilimo (Power Tillers), kwa kubebea mizigo kwenye minada pamoja na kwenye magulio sanjari na kubebea abiria.
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
JK: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani Agosti 6, 2014.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Lukuvi: Msaidieni Rais kukamua majipu madogo
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Msuya amtaka JK apuuze mambo madogo bungeni
5 years ago
Bongo514 Feb
‘Mh Rais, majipu unayotumbua wewe ni madogo madogo’ – Askofu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli sikukuu ya Pasaka, waliungana na waumini wa kanisa la Africa Inland – Tanzania Dayosisi ya Pwani Pastorate ya Magomeni kusali ibada ya Pasaka.
Katika ibada hiyo Askofu wa Kanisa la Africa Inland – Tanzania Baba Askofu Charles Salalah aliongoza maombi ya kumuombea Rais Magufuli na kumpongeza kwa kazi kubwa ya kurekebisha mambo yote yasiyofaa nchini ikiwemo kuwaondoa viongozi wanaotumia madaraka yao...