Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodaboda Shinyanga kuhamasisha tohara

Mratibu wa Ukimwi wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Mawazo AmriWAENDESHA pikipiki za abiria maarufu kama bodaboda mkoani Shinyanga, wamepewa kazi ya kuhamasisha wanaume kujitokeza kwa ajili ya kufanyiwa tohara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bodaboda Kahama kuhimiza tohara

Zaidi ya waendesha bodaboda 200 watatumika katika kampeni ya kitaifa ya tohara ya mwanaume mkoani Shinyanga.

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.

Desemba 02,2015- Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameendelea na ziara za kushtukiza kwenye maeneo ambayo ni kero katika wilaya hiyo.Ilikuwa majira ya saa tano asubuhi,mkuu huyo wa wilaya akaabukia katika soko kuu la manispaa ya Shinyanga lililojengwa kabla ya uhuru wa Tanganyika..Ikawa faraja kwa Wafanyabiashara wa soko hilo waliodai kwa kipindi kirefu wamekuwa wakiilalamikia halmashauri ya manispaa kutokana na kushindwa kulifanyia ukarabati soko hilo.Akiwa katika soko hilo...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA


Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaume wakimbia tohara Kenya

Wanaume wanaokwepa kutahiriwa wajikuta taabani kwa kufanyiwa kitendo hicho kwa lazima Kenya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tohara inapunguza maambukizi ya VVU

TAFITI kutoka nchi nyingi duniani zimebaini kwamba tohara kwa wanaume inapunguza maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa asilimia 60 kwa wanaume na asilimia 44 kwa wanawake. Pia imebaini kwamba...

 

11 years ago

CloudsFM

TOHARA YAUA 19 AFRIKA KUSINI

Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini inasema kuwa wavulana kumi na tisa wamefariki dunia mwaka huu katika sherehe za kitamaduni za kuwapasha tohara wavulana.Mshukiwa huyo Dyana Salim Suleiman, amekanusha mashitaka hayo.
Dyana alijitetea kwa kusema kuwa gari lake lilitekwa nyara na kutumiwa kwa mashamulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kwamba alipigwa na kujeruhiwa vibaya huku akiachwa hali mahututi.

Mshukiwa huyo pamoja na wengine walifikishwa mahakamani Juni 23 ingawa hawakufunguliwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

''Nalala kichakani kukwepa tohara''

Tohara kwa wanaume ni kitu kinachosifika,lakini wanaume hawa Kenya wanafanyiwa kitendo hicho kwa lazima. Na Odeo Sirari

 

11 years ago

BBCSwahili

Tohara yawaua 19 Afrika Kusini

Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini inasema kuwa wavulana 19 wameaga dunia mwaka huu katika sherehe za kuwapasha tohara wavulana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani