BOMOABOMOA MAENEO YA MBAGALA RANGI 3
![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*jN262qt2kp6C*TdzvHaq0bVMuUOQ4wS*94NMeS6ARokgbZXG19BpWqGiTHuwG0WRhZ99dgMN-Km2Zf3voSlsT/BOMOABOMOA2.jpg?width=650)
Zoezi la ubomoaji katika maeneo ya Mbagala Rangi Tatu jijini Dar likiendelea ikiwa ni sehemu ya kuweka jiji safi na kupanua barabara.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Oct
Shule ya Mbagala Rangi 3 taabani
SHULE ya msingi Mbagala Rangi 3, inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa, jambo linalosababisha wanafunzi zaidi ya 100 kuwa katika darasa moja huku wengine wakikaa chini.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bQSeS6skunk/default.jpg)
SIKU MAGUFULI ALIPOKATAA KUIPOKEA BARABARA YA KILWA (MTONGANI - MBAGALA RANGI TATU YA KM 5.1
UJENZI wa Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam ambayo Waziri wa Ujenzi, Dkt John Pombe Magufuli alikataa kuipokea mwaka 2011, baada ya kujengwa chini ya kiwango. Ujenzi wa kipande hicho cha kilomita 5.1 kutoka Mtongani hadi Mbagala Rangi Tatu, ulikamilika mwaka 2012. Mafundi wa Kampuni ya Kajima ndio waliokuwa wakijenga kipande hicho cha barabara . Dkt. Magufuli alikataa kuipokea barabara hiyo kutoka katika Serikali ya Japan, iliyotoa msaada wa fedha na ujenzi kufanywa na Kampuni ya...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRjKHmERqpU/VZqTKj1dMSI/AAAAAAAHnUk/pg6ndeyG-AA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-06%2Bat%2B5.36.52%2BPM.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KRjKHmERqpU/VZqTKj1dMSI/AAAAAAAHnUk/pg6ndeyG-AA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-06%2Bat%2B5.36.52%2BPM.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH-bP5VICnay7MrfvYvOYLOvgNUJ5LvU1h1O3re*dQa29ybVcserO46Q4uCLjOnuCyXB362UsFcD-2BKT4S1MJLN/1KKOO2.jpg?width=650)
BOMOABOMOA KARIAKOO
Zoezi la bomoabomoa likiendelea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam ikiwa ni mikakati ya kuweka jiji safi. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (Nemc), imesitisha ubomoaji wa nyumba zilizojengwa katika Bonde la Mto Msimbazi ili kuwapa nafasi wakazi kuhama na kuokoa mali zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania