Bondia Mafuru akana kuugua tumbo Madola
BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kusema linaendelea na uchunguzi kubaini sababu iliyofanya bondia Nasser Mafuru ashindwe kupanda ulingoni, bondia huyo anawashangaa waliosema aliugua kwani alikuwa fiti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA

10 years ago
TheCitizen12 Dec
JK appoints Mafuru to key Treasury post
11 years ago
Michuzi
LAWRENCE MAFURU JOINS CRDB BANK BOARD

Mr. Lawrence Nyasebwa Mafuru has been appointed to join CRDB Bank as an Independent Director. He will therefore be sitting in CRDB Bank Board Meetings as a Board Member.
Mr. Mafuru served as National Bank of Commerce Managing Director from June 2010 until December 2012. He also served as Tanzania Bankers Association Chairman from January 2010 until December 2012.
Mr. Mafuru now works in the President's Delivery Bureau (PDB) under the Big Results Now (BRN) initiative as the Director of...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete amteua Lawrence Mafuru kuwa Msajili wa Hazina
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lawrence Nyasebwa Mafuru (pichani)kuwa Msajili wa Hazina kuanzia tarehe 5 Novemba, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa kabla ya uteuzi wake, Bwana Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Rasilimali Fedha katika Ofisi ya Rais inayohusika na ufuatiliaji Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (PDB). Aidha Bwana Mafuru pia alikuwa Kaimu Mtendaji...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Nusu ya waingereza kuugua saratani
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
JK alificha siri ya kuugua saratani!
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu jana.
*Mama Salma alijua miezi nane baadaye
*Aeleza alivyokuwa akihamanika na siri
RAIS Jakaya Kikwete, amerejea nchini akiwa mzima wa afya na kuelezea Watanzania namna alivyoficha siri ya kuugua saratani kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku akihamanika moyoni...
10 years ago
Mwananchi02 Oct
Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Chanzo cha kuugua mkanda wa jeshi
10 years ago
Uhuru Newspaper
Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya.
