Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bondia mtanzania Omari Kimweri anayetesa Australia kutoa sapoti ya mafunzo ya ndondi Dar

.Kutua Februari, apania kuzalisha akina Mayweather kibao nchiniOmari KimweriNA Mwandishi wetu
NDONDI ni miongoni mwa michezo maarufu mno hapa Tanzania na duniani kwa ujumla.

Wapo wanamichezo waliojipatia heshima kubwa duniani kutokana na kufanikiwa kupitia mchezo wa ndondi.

Miongoni mwa wanamichezo hao ni nguli Mohammed Ali, Mike ‘Iron’ Tyson, Evender Holyfield, Floyd Mayweather, Manny Pacquiao na wengineo wengi.
Kwa hapa nchini, wapo mabondia waliojitengenezea majina wakiwamo Emmanuel Mlundwa,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BONDIA OMARI KIMWERI AMPIGA TAFU YA VIFAA KOCHA SUPER D


Mwanasoka wa kike, Melanie Gines (kushoto) ambaye ni raia wa Hispania na  bondia Omari Kimweri na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakiwa tayari kupanda ndege na kurudi kwao 
Mwanasoka wa kike, Melanie Gines ambaye ni raia wa Hispania (kushoto)  akimkabidhi glove kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati ni  bondia Mtanzania anayefanya kazi zake nchiniAustralia. Omari Kimweri ambaye aliongozana nchini na mwanasoka...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA OMARI KIMWERI ATUA NCHINI NA MWANASOKA WA KIKE WA NCHINI HISPANIA

Bondia Mtanzania anayefanya kazi zake Nchini Australi, Omari Kimweri, (kushoto) akiongozana na mgeni wake mwanasoka wa kike, Melanie Gines ambaye ni raia wa Hispania (wa pili kulia) baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere na kupokelewa na kocha wa mchezo wa masumbwi, Rajabu Mhamila 'Super D' (wa pili kushoto).Mwanasoka wa kike, Melanie Gines ambaye ni raia wa Hispania (kulia) akipeana mkono na kocha wa masumbwi nchi Rajabu Mhamila 'Super D' baada ya kuwasili katika uwanja...

 

10 years ago

Vijimambo

OMARI KIMWERI AMPIGA TAFU VIFAA KOCHA KINYOGOLI


Mwanasoka wa kike, Melanie Gines ambaye ni raia wa Hispania. kushoto akimkabidhi glove kocha mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini zilizotolewa nabondia Mtanzania anayefanya kazi zake nchini Deer Park, Victoria, Australia, Omari Kimweri katikati kwa kushirikiana na kocha Rajabu Mhamila 'Super D' Bondia Om ari Kimweri akimvisha mkanda wa ubingwa wa taifa Alphonce Mchumiatumbo baada ya kumtwanga Iddi Bonge kwa point Bondia Mtanzania anayefanya kazi zake nchini Deer Park, Victoria, Australia,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafunzo ya ndondi kwa vitendo kuanza leo Dar

SHIRIKISHO la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), leo linaanza kutoa mafunzo ya mchezo huo kwa vitendo kwa waamuzi na mabondia kwa lengo la kuuboresha. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa TPBC,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtanzania anayetesa Afrika Kusini kwa kuendesha baiskeli

Kati ya wanamichezo wa Tanzania waliofanikiwa kupitia michezo, hauwezi kuacha kumtaja mwendesha baiskeli, Richard Laizer anayeichezea timu ya Qhubeka Feeder ya nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Habarileo

Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe

Charles Mihayo akipelekwa gerezani baada ya hukumu yake.MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA MTANZANIA FADHILI MAJIHA KUMSINDIKIZA MANNY PAQUAIO NOVEMBA 22 MACAO CHINA

Na Mwandishi WetuBONDIA Fadhili majiha kwa mara ya kwanza ataiwakilisha nchi ya tanzania akicheza katika mpambano wa utangulizi wa bondia mkubwa duniani Manny Paquaio na Chris Algieri mpambano utakaofanyika 

Cotai Arena, Venetian Resort, Macao, Macao S.A.R., China mpambano ambao bonia mtanzania Fadhili Majiha atavaana na Jerwin Ancajas kutoka Philippines mpambano utakaokuwa wa raundi 8 
mchezo uliopowa hadhi ya nyota mbili ambapo watanzania wote wanapaswa kumuombea duwa bondia nambari moja kwa...

 

10 years ago

GPL

WADAU KIKAPU DAR WAOMBA SAPOTI KUFUFUA MCHEZO HUO

Wadau mbalimbali wa mchezo wa basketball.
Wanahabari toka vyombo mbalimbali wakiwa katika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani