Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bongo Muvi, Taff wamaliza tofauti zao

MwakifwambaSimon Mwakifwamba.

HAMIDA HASSAN

BIFU kubwa lililokuwepo kati ya wasanii wa fi lamu wanaounda Bongo Movie na wale wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘Taffff ’ limeyeyuka baada ya viongozi wa pande zote mbili kukutana na kuona kuna ulazima wa kuwa kitu kimoja.

Taarifa za pande hizo mbili kumaliza tofauti zao zilitua kwenye dawati la gazeti hili na kuthibitishwa na Rais wa Taff , Simon Mwakifwamba ambaye alisema wameona  aufanyie kazi msemo usemao Umoja ni Nguvu wakiamini wakiwa wamoja wanaweza...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAFF, BONGO MUVI, NANI ALIYEWAROGA?

KWENU,
Uongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) na Klabu ya Bongo Movie Unity ‘Bongo Muvi’. Bila shaka ni wazima na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku salama kabisa. Kuna jambo nahitaji kuwashauri maana naona kama msipoliweka sawa, hali inaweza kuwa mbaya na mkaibomoa sanaa yenu kwa mikono yenu wenyewe. Kuna kipindi fulani huko nyuma niliwahi kusikia mgogoro wa chinichini kati yenu. Hoja hasa za tofauti...

 

11 years ago

Bongo Movies

Wema na kajala wamaliza tofauti zao.

Habari mpya kama sio njema ni kuwa Wema Sepetu na Kajala Masanja wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘beef’ lao lilichukua week kibao sasa. Kwa mujibu wa taarifa mpya mitandaoni ni kuwa mastaa hao wawili ambao waliwahi kuwa mashosti wakubwa walimaliza ‘beef’ lao katika sherehe ya kibao kata cha mwandishi wa magazeti ya Globalpublishers anayeitwa Imelda Mtema.

 

 Katika tukio hilo mastaa kibao walihudhuria akiwemo Aunty Ezekiel ambaye kwasasa amekuwa karibu zaidi na Wema Sepetu. Nae...

 

9 years ago

Bongo5

Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja

Habari njema kwa mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa hatimaye wanamuziki nguli wa Bongo fleva, Aboubakar Shaaban Katwila a.k.a Q-Chillah na Khalid Mohamed a.k.a Tid Mnyama wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu. Tid na Q Chief walipokuwa kwenye kipindi cha XXL Wasanii hao ambao waliwahi kufanya kazi pamoja katika Top Band ya Tid kabla […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

11 years ago

GPL

MIKE AIKACHA TAFF, AJIUNGA BONGO MOVIE

Na Gladness Mallya MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’ amejiuzulu ujumbe wa Bodi ya Shirikisho la Filamu (TAFF) na kujiunga rasmi na Klabu ya Bongo Movie. Muigizaji wa sinema za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’. Akizungumza na paparazi wetu, Mike alisema amefikiri kwa kina na kuona bora ajiengue katika Taff na badala yake aelekeze nguvu zake katika Klabu ya Bongo Movie ambayo anaamini kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI KIMENUKA

Na Hamida Hassan
BONGO Muvi kimenuka! Viongozi wapya wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenyekiti) na William Mtitu (katibu), wametofautiana kauli na kuanza kurushiana maneno mazito wakitaka kukunjana mbele ya wajumbe wa klabu hiyo. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Chanzo makini kilitonya kuwa, kilichosababisha kuibuka kwa ugomvi huo ni baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani