BOSI SHIRIKA LA AFYA LA DUNIA AOMBA SIASA ISIINGILIE CORONA

Mkuu wa shirika la Afya duniani WHO ametaka kuwepo kwa umoja huku shirika hilo likiendelea kushambuliwa na rais Donald Trump.Akizungfumza siku ya Jumatano, mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Tedros Adhanom Ghebreyesus alitetea kazi ya shirika hilo na kutoa wito wa kusitishwa kwa siasa katika mlipuko wa virusi vya corona.Bwana Trump alionya kwamba atafikiria kusitisha ufadhili dhidi ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa.Rais huyo alilishutumu shirika hiko kwa kuipendelea China na kudai kwamba...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MKAZI DAR AOMBA KUKUTANA NA WAZIRI WA AFYA BAADA YA KUDAI AMEGUNDUA DAWA YA KUTIBU CORONA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MKAZI wa Chanika jijini Dar es Salaam Seleman Mwamsumbwe ameomba kukutana na Waziri wa Afya, Maendeleo...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus aomba siasa kutochanganywa na virusi
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Shirika la SEMA mkoani Singida lachangia vifaa vya afya kwa wahudumu 43 wa afya ngazi ya vijiji na mitaa
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali vikiwemo miavuli vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.5 milioni vivyogawiwa kwa wahudumu wa afya ngazi ya vijiji na mitaa manispaa ya Singida. Kulia ni Mganga mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk John Mwombeki.
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akimkabidhi Mganga Mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk...
11 years ago
Habarileo01 Jun
Bosi UN asifu jitihada za Kikwete sekta ya afya
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesifu jitihada za Rais Jakaya Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
11 years ago
Habarileo11 Sep
Ziara ya bosi Benki ya Dunia leo
MKURUGENZI Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia, Sri Mulyani Indrawati, anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia leo mpaka Jumapili ijayo, Septemba 14, ambayo ni ya kwanza kwake tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo Juni, 2010.
5 years ago
CCM Blog20 Apr
BOSI WA AMAZON AZOA BILIONI 24 KUTOKANA NA MLIPUKO WA CORONA

5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA

