Ziara ya bosi Benki ya Dunia leo
MKURUGENZI Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia, Sri Mulyani Indrawati, anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia leo mpaka Jumapili ijayo, Septemba 14, ambayo ni ya kwanza kwake tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo Juni, 2010.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9jkO6HskcTo/VZkRFsj31vI/AAAAAAAHnEA/KzOi57JhlVw/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
ujumbe wa Benki ya Dunia wafanya ziara Bandarini jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-9jkO6HskcTo/VZkRFsj31vI/AAAAAAAHnEA/KzOi57JhlVw/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8fURey8qM/XmB4TlA3ewI/AAAAAAALhFE/CDr1F74eVukawJ-h2_rH9BuS0rrcKQHmACLcBGAsYHQ/s72-c/1c767af1-bc14-4f08-b70f-59a4c54d13d1.jpg)
UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI
Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020.
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam
10 years ago
MichuziMkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika- Benki ya Dunia waendelea leo
Mkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika hufanyika kila mwaka wakati wa mikutani ya Benki ya Dunia na IMF na unahusisha kundi la nchi za Benki ya Dunia ambazo zinapata mikopo nafuu kutoka IDA. IDA ni shirika au mfuko wa maendeleo kwa ajili ya kutoa mikopo nafuu kwa nchi zinazoendelea kwa kundi la Benki ya Dunia.
Katika mikutano hii wanazungumzia zaidi masuala ya sera za kibenki na mambo ya utawala kama vile ajira , uchaguzi wa wenyeviti wa mikutano hiyo na kamati mbalimbali. Mkutano huo...
Katika mikutano hii wanazungumzia zaidi masuala ya sera za kibenki na mambo ya utawala kama vile ajira , uchaguzi wa wenyeviti wa mikutano hiyo na kamati mbalimbali. Mkutano huo...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA (WB) MAPEMA LEO
10 years ago
MichuziBOSI WA PPF WILLIAM ERIO AIFAGILIA BENKI YA CRDB
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni za wastaafu PPF, Bw.William Erio ameipongeza benki ya CRDB kwa kuendelea kuwa benki bora yenye huduma nzuri zaidi hapa nchini. Bw. Erio aliyasema hayo jijini Arusha katika hafla ya chakula cha jioni kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa PPF iliyofanyika katika hoteli ya Naura Springs. Mkurugenzi huyo alisema kuwa Shirika lake lina faraja kubwa kuona benki ya CRDB ambayo PPF ni mmoja ya wanahisa wake wakuu, ikiendelea vizuri na kufikia viwango vya...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s72-c/IMG_4085.jpg)
MIKUTANO YA MWAKA YA KUNDI LA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA YAANZA RASMI NCHINI LIMA LEO TAREHE 5/10/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s640/IMG_4085.jpg)
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7Of10o9LxpI/Xo7I6hmjKzI/AAAAAAABL_Q/skXzkzdsTAIwe_H_7UWZNapsMbSv3TooQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111716048_5f4b695d-ac17-4e31-99ed-78ded177cb6f.jpg)
BOSI SHIRIKA LA AFYA LA DUNIA AOMBA SIASA ISIINGILIE CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Of10o9LxpI/Xo7I6hmjKzI/AAAAAAABL_Q/skXzkzdsTAIwe_H_7UWZNapsMbSv3TooQCLcBGAsYHQ/s640/_111716048_5f4b695d-ac17-4e31-99ed-78ded177cb6f.jpg)
Mkuu wa shirika la Afya duniani WHO ametaka kuwepo kwa umoja huku shirika hilo likiendelea kushambuliwa na rais Donald Trump.Akizungfumza siku ya Jumatano, mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Tedros Adhanom Ghebreyesus alitetea kazi ya shirika hilo na kutoa wito wa kusitishwa kwa siasa katika mlipuko wa virusi vya corona.Bwana Trump alionya kwamba atafikiria kusitisha ufadhili dhidi ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa.Rais huyo alilishutumu shirika hiko kwa kuipendelea China na kudai kwamba...
11 years ago
Habarileo20 May
Bosi wa Ewura kuagwa leo
ALIYEKUWA Meneja Biashara ya Mafuta wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyefariki dunia juzi, anatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwake Yombo Vituka, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania