BOXING: Cheka outpunches Shauri
>Famous professional boxer in the country Cosmas Cheka, has outpunched Ramadhan Shauri at the Friends Corner Hotel.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CFTs_opzCeQ/default.jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
CHADEMA chapeleka shauri mahakamani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahirisha shughuli za mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo na kupeleka mahakamani shauri la kuomba kibali cha kuuaga mwili huo.
Uamuzi huo unachukuliwa baada ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kushikilia msimamo wa kutofanyika mikusanyiko katika viunga vya jiji la Mwanza.
Awali shughuli za kuuaga mwili huo zilitakiwa kufanyika jumamosi hii jijini Mwanza na jumapili mkoani Geita na mazishi yangefanyika...
11 years ago
TheCitizen28 Jan
Shauri eyes more titles after victory
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-E288foaEZqOucxgw3EqUzXNUQ8*pfFsVj7rFFAEdTYLcw5*ejMgyl2LRlGFCoiLy414NGw6Q69E5Vp-3lSANAs/url.jpg?width=750)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83665000/jpg/_83665651_83658249.jpg)
VIDEO: Boxing their way out of trouble
11 years ago
Habarileo31 Jan
Shauri la Mkono na Mawio lapigwa kalenda
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limeahirisha kusikiliza shauri linalomhusu Wakili maarufu nchini, Nimrod Mkono dhidi ya gazeti la Mawio, kutokana na pande hizo kuhitaji wawakilishi wa kuwasemea. Katika shauri hilo namba 27/2013, Mkono analalamikia gazeti la Mawio kuandika habari tofauti tofauti zenye upotoshaji na za kumkashfu na Kampuni yake ya uwakili ya Mkono Advocates. Gazeti la Mawio liliwakilishwa na Mhariri ambaye pia ni Mwanasheria Nyaronyo Kicheere.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Rombo ‘wawatunishia misuli’ maofisa H/shauri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsVV6mDOlzVUDDffgvwZ00fR1-Ci7Bw*WrUv-XgMAhv0kBFD8fPSFtme1tfcTI-fZ0X2X*lXKSGxCU8ZGmqdjEu/romantic_girl2560x1600.jpg?width=650)
UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!