Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOXING: Cheka outpunches Shauri

>Famous professional boxer in the country Cosmas Cheka, has outpunched Ramadhan Shauri at the Friends Corner Hotel.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

StarTV

CHADEMA chapeleka shauri mahakamani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahirisha shughuli za mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo na kupeleka mahakamani shauri la kuomba kibali cha kuuaga mwili huo.

Uamuzi huo unachukuliwa baada ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kushikilia msimamo wa kutofanyika mikusanyiko katika viunga vya jiji la Mwanza.

Awali shughuli za kuuaga mwili huo zilitakiwa kufanyika jumamosi hii jijini Mwanza na jumapili mkoani Geita na mazishi yangefanyika...

 

11 years ago

TheCitizen

Shauri eyes more titles after victory

Tanzania’s light welterweight boxing sensation, Ramadhan Shauri, improved his record at the domestic level with a seventh round Technical Knockout (TKO) victory over Musa Chitepete in a non-title bout at Friends’ Corner Hall, Manzese in Dar es Salaam on Sunday.

 

10 years ago

GPL

NEW AUDIO: BELLE 9 - SHAURI ZAO

Msanii wa Bongo, Belle 9.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Boxing their way out of trouble

A former boxer and petty criminal in one of Johannesburg's most notorious neighbourhoods is doing his best to help keep local children away from drugs and crime.

 

11 years ago

Habarileo

Shauri la Mkono na Mawio lapigwa kalenda

BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limeahirisha kusikiliza shauri linalomhusu Wakili maarufu nchini, Nimrod Mkono dhidi ya gazeti la Mawio, kutokana na pande hizo kuhitaji wawakilishi wa kuwasemea. Katika shauri hilo namba 27/2013, Mkono analalamikia gazeti la Mawio kuandika habari tofauti tofauti zenye upotoshaji na za kumkashfu na Kampuni yake ya uwakili ya Mkono Advocates. Gazeti la Mawio liliwakilishwa na Mhariri ambaye pia ni Mwanasheria Nyaronyo Kicheere.

 

11 years ago

Mwananchi

Rombo ‘wawatunishia misuli’ maofisa H/shauri

Watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo juzi walijikuta katika wakati mgumu baada ya kuwekwa chini ya ulinzi wa wananchi wenye hasira, walipokwenda kutwaa ardhi ya vikongwe wawili.

 

11 years ago

GPL

UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!

HayaHAYA, tumekutana tena kupeana mawili matatu kuhusiana na maisha yetu ya kila siku. Kwa kweli wanawake kuishi kwa mazoea kumekuwa kukiongeza nyumba ndogo kila kukicha. Leo nataka nikupashe upashike kosa lako la kuishi kimazoea kumefanya mapenzi yapungue ndani ya nyumba nyingi.
Nyumba nyingi siku hizi zimepoteza mapenzi ya zamani kufikia hatua ya kuonana kaka na dada, kinachotofautisha ni makutano ya kimwili lakini zaidi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani