Rombo ‘wawatunishia misuli’ maofisa H/shauri
Watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo juzi walijikuta katika wakati mgumu baada ya kuwekwa chini ya ulinzi wa wananchi wenye hasira, walipokwenda kutwaa ardhi ya vikongwe wawili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CFTs_opzCeQ/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili21 May
Mwanaridha aliyekiri kusisimua misuli
Mwanariadha mkenya anayeshiriki mbio za kimataifa Matthew Kisorio afichua jinsi alivyotumia dawa za kuongeza nguvu
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Bella, Alikiba ‘watunishiana’ misuli
Christian Bella anasifika kwa kuwa na tungo makini na sauti nzuri yenye matamshi mwanana ilhali Alikiba ni maarufu kwa tungo na sauti inayowavutia wengi. Itakuwaje wawili hawa wakikutana pamoja?
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Italy na England watunishiana misuli
Mchezo wa Italy na England umekosa mbabe baada ya kushindwa kupatikana mshindi
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Chadema, Polisi watunishiana misuli.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Paulo-14April2015.jpg)
Maandamano hayo yameandaliwa kwa ajili ya kushinikiza kutolewa kwa taarifa za matumizi ya Sh. milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi ya Msamvu.
Wiki iliyopita Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Morogoro, James Mkude, kilitangaza kufanya maandamano hayo hadi katika...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s72-c/zitto-kabwe-11.jpg)
Zitto aitunishia misuli CHADEMA
Ofisi ya Bunge, NEC zaikana CHADEMADk. Kitilla: Upinzani unaua demokrasia
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatambui kufukuzwa uanachama wala ubunge wake na kwamba, ataendelea na majukumu ya kuwatumikia wananchi wake kama kawaida.
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYSa90Yzdk4/VQFbDHFzKhI/AAAAAAAAB8o/DUhR66ErdqE/s1600/zitto-kabwe-11.jpg)
Hata hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Bunge, zimesema hazijapokea barua wala taarifa kutoka CHADEMA za kumvua uanachama mbunge huyo.
Aidha, baadhi ya wanasiasa akiwemo Profesa Kitila Mkumbo, wameponda uamuzi unaofanywa...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nauman bingwa kutunisha misuli
MUHAMMAD Nauman, ametangazwa kuwa bingwa wa michuano ya kutunisha misuli iliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini toka mwaka 2002 katika Ukumbi wa AT Pj uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-E288foaEZqOucxgw3EqUzXNUQ8*pfFsVj7rFFAEdTYLcw5*ejMgyl2LRlGFCoiLy414NGw6Q69E5Vp-3lSANAs/url.jpg?width=750)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania