Shauri la Mkono na Mawio lapigwa kalenda
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limeahirisha kusikiliza shauri linalomhusu Wakili maarufu nchini, Nimrod Mkono dhidi ya gazeti la Mawio, kutokana na pande hizo kuhitaji wawakilishi wa kuwasemea. Katika shauri hilo namba 27/2013, Mkono analalamikia gazeti la Mawio kuandika habari tofauti tofauti zenye upotoshaji na za kumkashfu na Kampuni yake ya uwakili ya Mkono Advocates. Gazeti la Mawio liliwakilishwa na Mhariri ambaye pia ni Mwanasheria Nyaronyo Kicheere.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Feb
Bunge la Katiba lapigwa kalenda
DALILI za Bunge Maalum la Katiba kushindwa kumalizika ndani ya siku 70 za mwanzo, na hivyo kuhitaji kuongezwa siku nyingine zisizozidi 20 kisheria, zimeanza kuonekana mapema.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Gazeti la Mawio labanwa
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya AP Media & Consult Ltd, Peter Keasi ametaka gazeti la Mawio limlipe Sh bilioni mbili kama fidia, kwa kile anachodai kuchapisha habari ambazo zimesababisha kushuka kwa hadhi yake na ya kampuni na hivyo kumwathiri kibiashara.
11 years ago
GPLGAZETI LA MAWIO KIKAANGONI
11 years ago
MichuziGazeti la Mawio lapelekwa mahakamani
11 years ago
Habarileo21 Jul
Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Basi lapigwa bomu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.
Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo namba T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri alipokuwa...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Soka la vijana lapigwa ‘tafu’
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...