Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil inachunguza mauaji ya watu 35

Mamlaka nchini Brazil katika mji wa Manaus wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji mabaya ambapo zaidi ya watu 35 wameripotiwa kuuwauwa kati ya ijumaa na jana Jumatatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

Shirikisho la Soka duniani FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi dhidi ya Manchester City

 

10 years ago

StarTV

Nigeria inachunguza utekaji mpya

Serikali nchini Nigeria inasema inachunguza taarifa ya idadi kubwa ya wanawake na wasichana waliotekwa nyara na wanamgambo wa Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo, pamoja na kwamba tangazo la kusitisha mapigano lililotolewa na majeshi ya serikali.

 
Msemaji wa Serikali ya Nigeria Mike Omeri, ameiambia BBC kuwa serikali ya Nigeria inajaribu kuthibitisha kile kilichotokea.

 

Mwanakijiji mmoja anasema wanawake na wasichana arobaini wametekwa na kundi hilo.

 
Makubaliano ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wanaochochea mauaji C.A.R

Marais 2 wa CAR miongoni mwa watu 20 waliotajwa na Amnesty International kwa kuchochea mauaji

 

9 years ago

Mwananchi

Mauaji haya ya watu yakomeshwe

Katika gazeti hili leo, kuna habari inayomhusu mwanamke wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala aliyeuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

Dewji Blog

23 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watu 4

DSC01646

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, linawashikilia watu 23 wakazi  wa kijiji cha Nkyala kata ya shelui wilaya Iramba mkoa wa Singida, kwa tuhuma ya kudaiwa kuuawa kwa makusudi wezi wanne wa madume ya Ng’ombe.

Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, alisema watu hao kati yao 21 wanatuhumiwa kwa mauaji na wawili...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime

Watu 10 wanashikiliwa na polisi kwa mahojiano baada ya kukamatwa na msako wa kikosi kazi kwa kushirikiana na Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya, baada ya kutokea kwa mauaji ya hivi karibuni wilayani Tarime dhidi ya mtu asiyefahamika wala aina ya bunduki yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia zasababisha mauaji ya watu Libya

Zaid ya watu kumi wameuawa katika msururu wa ghasia viungani mwa mji mkuu wa Libya Tripoli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa

Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani