Break News:Simba sasa inaleta msenegal mwingine.
Simba sasa inaleta Msenagali mweingine kwa ajili ya kumjaribu.
Hii ni baada ya kutorishishwa na yule Papa Niang aliyeelezwa ni mdogo wa Mamadou Niang.
Taarifa kutoka ndani ya Simba zinaeleza, Abdulah Ndow kutoka Senegal na analetwa na wakala aliyemleta Kocha Dylan Kerr.
Inaelezwa aliwahi kucheza soka barani Ulaya katika kikosi cha Bucharest ambako alivunja mkataba baada ya kutolipwa.
Taarifa zinasema atawasili leo na Simba itakuwa na nafasi ya kumuona kabla ya kuamua. Hii ni uthibitisho...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-02oMoMeedSo/VflyJKDwVXI/AAAAAAAAIFU/btL4Aa5I2hs/s640/SIMBA%2BNEWS%2Bvoda-03.png)
9 years ago
TheCitizen01 Nov
PARENTING : How to break bad news to your child
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
BREAK NEWS: ULINZI MKALI NI ISHARA YA CCM KUBADILISHA MATOKEO YA KURA.
Asalamu alaikhum Warahmatullahi Ndugu Watanzania kutoka Zanzibar na Tanganyika. Mpaka sasa habari rasmi ambazo zinafanywa Siri Siri Nikwamba. Uchaguzi wa Jumapili utatokea katika misingi ya Amani . Lakini Matokeo ya Raisi Wa Muungano Yatakuwa ya Staill […]
The post BREAK NEWS: ULINZI MKALI NI ISHARA YA CCM KUBADILISHA MATOKEO YA KURA. appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-suR8NRAHayw/Xnx0TBbVzxI/AAAAAAALlEw/9FfjFDEluJ4-OITirP1nzjGT5gTolnP9gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.18.47%2BPM.jpeg)
MGONJWA MWINGINE WA CORONA AONGEZEKA, NI DEREVA WA LORI, SASA WAFIKIA 13
![](https://1.bp.blogspot.com/-suR8NRAHayw/Xnx0TBbVzxI/AAAAAAALlEw/9FfjFDEluJ4-OITirP1nzjGT5gTolnP9gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.18.47%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rk071ZZ0wiA/Xnx0TMZOYuI/AAAAAAALlE0/iPZd1oxlKWssIkX5b_7-Wzqldb5MPZvEACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.19.40%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiIDADI ya wagonjwa wenye...
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Tahadhari:Pombe inaleta saratani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
9 years ago
Habarileo26 Aug
Simba yamtupia virago Niang, mwingine atua
UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mshambuliaji Papa Niang kutoka Senegal.
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mshambuliaji mwingine atua Simba kwa majaribio
MSHAMBULIAJI Makan Dembele kutoka Mali amewasili nchini kwa majaribio ya kujiunga na Simba SC. Mchezaji huyo aliwasili juzi jioni na kuungana na Abdoulaye N’daw wa Senegal katika majaribio hayo.