Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Break News:Simba sasa inaleta msenegal mwingine.

Simba sasa inaleta Msenagali mweingine kwa ajili ya kumjaribu.

Hii ni baada ya kutorishishwa na yule Papa Niang aliyeelezwa ni mdogo wa Mamadou Niang.

Taarifa kutoka ndani ya Simba zinaeleza, Abdulah Ndow kutoka Senegal na analetwa na wakala aliyemleta Kocha Dylan Kerr.

Inaelezwa aliwahi kucheza soka barani Ulaya katika kikosi cha Bucharest ambako alivunja mkataba baada ya kutolipwa.

Taarifa zinasema atawasili leo na Simba itakuwa na nafasi ya kumuona kabla ya kuamua. Hii ni uthibitisho...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

PARENTING : How to break bad news to your child

Parents sometimes think they’re protecting a child by not telling him someone’s sick, but 5- to 8-year-olds will pick up on it if family members are sad or whispering or the usual routines are disrupted.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

BREAK NEWS: ULINZI MKALI NI ISHARA YA CCM KUBADILISHA MATOKEO YA KURA.

Asalamu alaikhum Warahmatullahi Ndugu Watanzania kutoka Zanzibar na Tanganyika. Mpaka sasa habari rasmi ambazo zinafanywa Siri Siri Nikwamba. Uchaguzi wa Jumapili utatokea katika misingi ya Amani . Lakini Matokeo ya Raisi Wa Muungano Yatakuwa ya Staill […]

The post BREAK NEWS: ULINZI MKALI NI ISHARA YA CCM KUBADILISHA MATOKEO YA KURA. appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

MGONJWA MWINGINE WA CORONA AONGEZEKA, NI DEREVA WA LORI, SASA WAFIKIA 13

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, alipokua akitangaza mgonjwa mpya wa ugonjwa wa Corona nchini. Kulia ni Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid.Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamad Rashid akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo katika mkutano wa pamoja na Waziri Ummy kuhusiana na idadi mpya ya wagonjwa wa Corona.
Charles James, Globu ya JamiiIDADI ya wagonjwa wenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari:Pombe inaleta saratani

Wanasayansi wanaamini kuwa unywaji mwingi wa pombe unaweza kuleta hisia zisizo za kawaida mwilini ambazo zinaweza kuiweka ngozi katika hatari zaidi ya kupata Saratani ya ngozi.

 

11 years ago

Michuzi

Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0

Mchezaji wa Timu ya JKT Ruvu,Emmanuel Switta akimpeleka markiti Golikipa wa timu ya Simba, Yaw Berko kwa mkwaju mkali wa Penati na kuiandikia timu yake bao la pili katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara,unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.hadi mapumziko Simba wamelala kwa Bao 2 - 0.kipindi cha pili kimeanza hivi punde na tutaendelea kujuzana kinachojili.
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.

 

9 years ago

Habarileo

Simba yamtupia virago Niang, mwingine atua

UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mshambuliaji Papa Niang kutoka Senegal.

 

9 years ago

Habarileo

Mshambuliaji mwingine atua Simba kwa majaribio

MSHAMBULIAJI Makan Dembele kutoka Mali amewasili nchini kwa majaribio ya kujiunga na Simba SC. Mchezaji huyo aliwasili juzi jioni na kuungana na Abdoulaye N’daw wa Senegal katika majaribio hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani