Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari:Pombe inaleta saratani

Wanasayansi wanaamini kuwa unywaji mwingi wa pombe unaweza kuleta hisia zisizo za kawaida mwilini ambazo zinaweza kuiweka ngozi katika hatari zaidi ya kupata Saratani ya ngozi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari ya Saratani TZ

Mpango wa serikali ya kutoa chanjo kwa watoto wa kike wa miaka 9 – 13

 

9 years ago

BBCSwahili

Pombe kidogo pia yaweza kuleta saratani

Unywaji kidogo wa pombe hadi chupa moja kwa siku kwa wanawake na chupa mbili kwa wanaume unaweza kusababisha saratani

 

11 years ago

Mwananchi

Pombe, sigara, chumvi chanzo cha saratani ya utumbo

>Maradhi ya saratani yameendelea kushika kasi duniani kote na kusababisha taharuki kwa watu maskini na hata matajiri. Saratani huweza kuathiri sehemu yeyote ya mwili wa binadamu.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilali- Pombe, sigara vinachangia maambukizi ya saratani ya koo na ini

Mtindo wa maisha kama vile unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, ni miongoni wa sababu kubwa zinazotajwa kuchangia saratani ya koo la chakula na ini.

 

9 years ago

StarTV

Break News:Simba sasa inaleta msenegal mwingine.

Simba sasa inaleta Msenagali mweingine kwa ajili ya kumjaribu.

Hii ni baada ya kutorishishwa na yule Papa Niang aliyeelezwa ni mdogo wa Mamadou Niang.

Taarifa kutoka ndani ya Simba zinaeleza, Abdulah Ndow kutoka Senegal na analetwa na wakala aliyemleta Kocha Dylan Kerr.

Inaelezwa aliwahi kucheza soka barani Ulaya katika kikosi cha Bucharest ambako alivunja mkataba baada ya kutolipwa.

Taarifa zinasema atawasili leo na Simba itakuwa na nafasi ya kumuona kabla ya kuamua. Hii ni uthibitisho...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili


exim1 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim, Bi. Elizabeth Mayengoh, akikabidhi vitabu kwa mmoja wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenye wodi maalum ya watoto wanaougua ugonjwa wa saratani katika kuadhimisha siku ya saratani duniani. Wanaoshudia ni baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim na wazazi wa watoto hao. Benki hiyo ilikabidhi vifaa mbalimbali vikiwemo vyakula, vifaa vya kuchezea, sabuni, vifaa vya shule nk, lengo likiwa ni kujenga...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wakati akizindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora, katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya akina mama wa Tabora. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. Joseph Komwihangiro, Mkurugenzi wa Marie Stopes kwa kuwa mstari wa mbele katika huduma na elimu za mzazi wa mpango Jumamosi Mei 7, 2014 wakati akizindua ...

 

10 years ago

Raia Mwema

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani