Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking news from Ottawa, Canada, two shootings in the Parliament building


Two shootings rocked the heart of Canada's capital, Ottawa, today.  A Canadian soldier was fatally shot while guarding the National War Memorial and there was also gunfire inside the Parliament Building.
Here's what we know:The soldier who died was a reservist, from Hamilton, Ontario, the Canadian Broadcasting Corp. reportsDozens of shots were fired inside Parliament -- many by security officers chasing a gunman -- ending with a motionless body near the Parliament's library, a journalist...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UBALOZINI OTTAWA - CANADA

Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka anatoa salamu zake za muungano kwa watanzania wote na hasa wanaoishi nje ya Tanzania kwa kuwataka watumie fursa hiyo kuimarisha utanzania wao na kuboresha maisha ya watanzania wote hasa katika Nyanja za kisiasa na kiuchumi tunapoelekea katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
Katika salamu zake Mhe. Zoka amewataka watanzania wote waishio nje ya nchi kuyasoma mapendekezo ya katiba mpya kiufasaha na kwamba katika katiba hiyo wao wamepewa hadhi...

 

10 years ago

Michuzi

UBALOZI WA TANZANIA, OTTAWA - MWENYEJI WA MKUTANO WA UMOJA WA WENZA WA MABALOZI WA AFRIKA, CANADA

Ubalozi wa Tanzania, Ottawa umeshiriki kikamilifu kuandaa Mkutano wa Umoja wa Wenza wa Mabalozi wa Nchi za Afrika nchini Canada.
Akiuwakilisha Ubalozi wetu, mwenyeji wa mkutano huo ambaye pia ni Mtunza Hazina wa Umoja huo, Mke wa Balozi wa Tanzania, Mama Esther Zoka alitumia fursa ya mkutano huo, kuvinadi vivutio vya utalii vya Tanzania, ambavyo ni pamoja na Ngororo Crater ambayo iko katika orodha ya maajabu makuu ya ulimwengu inayoratibiwa na UNESCO, Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu...

 

9 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA BALOZI LIBERATA MULAMULA KATIKA OFISI YA UBALOZI WA TANZANIA OTTAWA-CANADA, OKTOBA 1-3, 2015


 Mhe.  Balozi Liberata Mulamula, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwasili kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania, Ottawa – Canada, akiongozana na mwenyeji wake Mhe. Balozi Jack M.  Zoka, tayari kuanza kazi alizozipanga kufanya katika ziara hiyo.
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akisaini kitabu cha wageni hapo Ubalozini. Pembeni ni mwenyeji wake Mhe. Balozi M.  Zoka.
 Picha ya Pamoja ya wafanyakazi wa Ubalozi wa...

 

11 years ago

TheCitizen

Engineers spruce up Parliament building

The Bunge infrastructure is being renovated before members of the Constituent Assembly meet next month.

 

10 years ago

TheCitizen

PARLIAMENT NEWS: One media ‘favoured’ in adverts

>Parliament was yesterday told of favouritism and blatant misuse of public funds running into millions of shillings in placing budget speech advertisements in the media.

 

10 years ago

Mtanzania

BREAKING NEWS

ajaliHabari ziliotufikia hivi punde ni kwamba Basi la abiria lililokua likitokea Mbeya limepata ajali maeneo ya Mafinga-Changarawe, baada ya kugongana na Lori lililokuwa likitokea Dar es salaam na kupelekea basi kuangukiwa na kontena na kuua abiria 65.

 

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Magufuli aapishwa

MHESHIMIWA dkt John Pombe Joseph Magufuli ameapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. 

Sherehe ya kuapishwa kwake imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania.

Aidha Rais Magufuli anashika wadhifa huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza kipindi chake cha miaka 10.

Fuatilia tovuti yetu kwa habari zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani