Breaking News!!Hatma ya bomoa bomoa mabondeni Mahakama Kuu kutoa hukumu kesho Januari 5
Mbunge wa Kinonodon, Maulid Mtulya (katikati) akiwa sambamba na baadhi ya Wanasheria wanaosimamia kesi ya kupinga kubomolewa kwa wakazi wa Mabondeni wa jimbo hilo la Kinondoni muda mfupi baada ya kutoka kusikilizwa kwa kesi yao ya msingi ya kupinga kubomolewa. Kesi hiyo ilifunguliwa na Mbunge huyo kwa kwa lengo la kutetea wananchi hao ili haki ipatikane na hatma ya wapi watapelekwa. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale
{Dar es Salaam] Umati wa wananchi wa Mabondeni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Jan
Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar
Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.
Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.
Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s72-c/IMG-20151120-WA0077.jpg)
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s640/IMG-20151120-WA0077.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-__AVnMJAN9k/Vk8B6lCdPFI/AAAAAAAIHCM/wd5fzT38oBs/s640/IMG-20151120-WA0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9pChYKZTbB0/Vk8B8qY1uAI/AAAAAAAIHDE/3NarBslPcXk/s640/IMG-20151120-WA0064.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUPBkSwMu0s/Vk8B3yjaFrI/AAAAAAAIHBA/-R2iuR9qIMk/s640/IMG-20151120-WA0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eSi7SdPm5I8/Vk8CCvHthII/AAAAAAAIHFo/VNT_oykUdmM/s640/IMG-20151120-WA0089.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s72-c/20151118030950.jpg)
BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s640/20151118030950.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9ivSaNi5x8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s72-c/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s640/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vkY5r2U7wLw/Vk2mu7wAkoI/AAAAAAAIGyc/MIHWTCRqrPM/s640/0e9437a3-9392-4d4c-b524-baac200011ff.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s72-c/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s640/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1cUMIPH6Mw/VovFlj8d1gI/AAAAAAAIQnU/dxodUeTZV4Y/s640/3cb89889-c985-4a5b-9a4d-acc3ea789990%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3KEiONi5RJI/VovFliZ2AtI/AAAAAAAIQnY/AuwQ0GdBDzo/s640/7809fde7-6859-481b-a559-351c0601a4a5.jpg)
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Waziri Lukuvi asitisha zoezi la bomoa bomoa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini, Mhe. William Lukuvi.
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
Aidha, wale wote waliojenga kwenye maeneo ya wazi, wavamizi wa maeneo ya watu, maeneo ya shughuli za kijamii kwenye fukwe, kingo za mito na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)