Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge lamkingia kifua Zitto

Zitto_Kabwe_2011Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
OFISI ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza kumvua uanachama Zitto, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, alisema kutokana...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto atikisa Bunge

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge laigeuka Kamati ya Zitto

 Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah amesema Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), chini ya Zitto Kabwe haikufuata utaratibu ilipoagiza Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwanda na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, James Andilile wakamatwe na polisi kwa kushindwa kuwasilisha mikataba 26 ya gesi na mapitio yake mbele ya kamati hiyo tangu mwaka 2012.

 

10 years ago

Habarileo

Zitto kuliaga rasmi Bunge?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZittoMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.

 

10 years ago

Habarileo

ZITTO AAGA BUNGE RASMI

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZittoHATIMAYE Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amekubali yaishe na kuamua kuaga wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Watanzania, wabunge wenzake na wajumbe wa Kamati wa Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kabla ya kutangaza kuachia ubunge wake.

 

11 years ago

Habarileo

Zitto: Bunge lidhibiti watendaji serikalini

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amesema Bunge lina kila sababu kupitia sheria yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kulinda hadhi yake kutoka kwa watendaji.

 

10 years ago

Daily News

Bunge Speaker to determine Zitto's fate


IPPmedia
Bunge Speaker to determine Zitto's fate
Daily News
JUST a day after Chadema announced that it had stripped Kigoma North MP Zitto Kabwe of his membership, the Clerk of the National Assembly, Dr Thomas Kashililah, said that his office was yet to receive official communication regarding the decision.
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com
Zitto loses case against ChademaIPPmedia

all 7

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote

Ikiwa ni siku moja tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza kung’atuka katika nafasi yake ya ubunge, Bunge limeeleza kuwa mbunge huyo atapata mafao yake yote kama wabunge wengine.

 

11 years ago

Mwananchi

BUNGE LA KATIBA: Hatukukosea kususa -Zitto Kabwe

>Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewataka viongozi kuacha kufananisha mchakato wa Katiba na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga.

 

10 years ago

TheCitizen

Bunge’s Public Accounts team saddened by Zitto resignation

Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) deputy chairman Deo Filikunjombe has said the decision by the body’s former chairman Zitto Kabwe to relinquish his seat in Parliament on Friday night was a big blow. “His departure will surely leave us divided, because he was a brother, father and a dedicated man in ensuring that the interests of the nation came first before anything else,” said Mr Filikunjombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani