Bunge lamkingia kifua Zitto
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
OFISI ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza kumvua uanachama Zitto, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, alisema kutokana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
10 years ago
Habarileo19 Mar
Zitto kuliaga rasmi Bunge?
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.
10 years ago
Habarileo21 Mar
ZITTO AAGA BUNGE RASMI
HATIMAYE Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amekubali yaishe na kuamua kuaga wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Watanzania, wabunge wenzake na wajumbe wa Kamati wa Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kabla ya kutangaza kuachia ubunge wake.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Zitto: Bunge lidhibiti watendaji serikalini
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amesema Bunge lina kila sababu kupitia sheria yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kulinda hadhi yake kutoka kwa watendaji.
10 years ago
Daily News12 Mar
Bunge Speaker to determine Zitto's fate
IPPmedia
Daily News
JUST a day after Chadema announced that it had stripped Kigoma North MP Zitto Kabwe of his membership, the Clerk of the National Assembly, Dr Thomas Kashililah, said that his office was yet to receive official communication regarding the decision.
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com
Zitto loses case against ChademaIPPmedia
all 7
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote
11 years ago
Mwananchi03 Aug
BUNGE LA KATIBA: Hatukukosea kususa -Zitto Kabwe
10 years ago
TheCitizen22 Mar
Bunge’s Public Accounts team saddened by Zitto resignation