Zitto: Bunge lidhibiti watendaji serikalini
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amesema Bunge lina kila sababu kupitia sheria yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kulinda hadhi yake kutoka kwa watendaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU SERIKALINI
5 years ago
MichuziRC Mongella: Watendaji Serikalini waelimishwe kutoa haki kwa wakati
Mongella alitoa rai hiyo katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza Aprili 20, 2020.
Akiongea katika kikao hicho...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Mitambo ya kisasa ya video serikalini, kitanzi cha posho kwa watendaji’
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6yGIYn4U2Ns/VlqR_1tYUbI/AAAAAAAII3k/QLoD7zXAMqQ/s72-c/IMG-20151128-WA0038.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...
10 years ago
Habarileo19 Mar
Zitto kuliaga rasmi Bunge?
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) jana aliteta faragha na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushauriana naye kama ajiondoe kwenye ubunge baada ya chama chake kutangaza kumvua uanachama.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Bunge lamkingia kifua Zitto
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
OFISI ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza kumvua uanachama Zitto, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, alisema kutokana...