Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge lataka maji Dodoma yapatikane kwa saa 24

KATIKA kuhakikisha dhima ya serikali kuhamia Dodoma inakamilika, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (Duwasa) kuongeza muda wa kupatikana maji kwa wateja kwa saa 24.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa lataka Bunge Maalum livunjwe 

ASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalum la Katiba kwakuwa umekosekana mwafaka wa pande mbili zinazovutana. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka mgogoro Bukoba uishe

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Benadetha Mshashu, ameitaka wizara husika kuhakikisha inasimamia na kuupatia ufumbuzi mgogoro wa uongozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wakuu wa bunge la wawakilishi Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimtaka kutoa silaha kwa Ukraine ili kupambana na waasi

 

10 years ago

Habarileo

Bunge lataka miundombinu DART ilindwe

KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi nchini ili kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wa miundombinu ya mradi huo ambayo imekuwa ikihujumiwa na baadhi ya watu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka madeni TTCL yalipwe

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imewataka wanaodaiwa katika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kulipa madeni yao kwa wakati, ili iweze kujiendesha kwa ufanisi zaidi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge lataka daraja Kigamboni haraka

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelitaka Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kuharakisha kukamilisha ujenzi wa daraja la Kigamboni, ili kutoa nafasi kwa Rais Jakaya Kikwete kulifungua. Aidha NSSF na Wakala wa Barabara (Tanroads), wametakiwa kuungana kujadili namna ya kukabiliana na changamoto ya foleni katika barabara kadhaa baada ya kukamilika kwa daraja hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge lataka Ewura ipunguze bei ya mafuta

Kamati ya Nishati na Madini, imeiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kufanya ukokotoaji upya wa bei ya mafuta ili kupunguza bei itakayompa ahueni mwananchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge Nigeria lataka Shell ilipe fidia

Bunge nchini Nigeria limesema kampuni ya Shell inapaswa kulipa karibu dola bilioni 4 kama fidia kwa familia zilizoathirika na kuvuja kwa mafuta mwaka 2011.

 

5 years ago

Michuzi

BUNGE LATAKA SERIKALI KUMPA TUZO YA UPANDAJI MITI RC WA TABORA

NA TIGANYA VINCENTWAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasi na Utalii wameitaka Serikali kutoa tuzo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwa jitihada zake za upandaji miti katika eneo hilo.
Walisema kuwa ushiriki wake moja kwa moja na uhamasishaji wake katika jamii kuanzia Shule za Msingi hadi Vyuo Vikuu umesaidia kujenga uelewa wa umuhimu wa upandaji na utunzaji miti katika eneo hilo.
Mjumbe Kamati hiyo ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kaliua Magdalena Sakaya alisema juhudi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani