Bunge limalize viporo vyake
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na viporo vingi ambavyo havijatolewa uamuzi na kiti cha spika kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge. Kwa mujibu wa kanuni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2VtGkOmA82A/VHxtozC5jWI/AAAAAAAG0kA/5b93HUgk8c8/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
BUNGE LA VIJANA LAANZA VIKAO VYAKE KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI DODOMA
Picha na habari na Owen Mwandumbya, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeandaa Bunge la Vijana linalofanyika Mjini Dodoma kwa siku tatu, ikiwa ni jitihada la kuwajengea uwezo vijana wa vyuo vikuu nchini. Bunge hilo liloanza vikao vyake juzi linalojumuisha Vijana kutoka Vyuo Vikuu 15 vya hapa Nchini vinavyozunguka mkoa wa Dodoma. Bunge hilo linalotarajiwa kumalizika tarehe 3 Desemba, 2014, ni sehemu ya Mpango wa Elimu kwa Umma ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKks6LGQYkqUvZGm5H72gd3X-MMffutna3r-grO67bZPnEYt*V6iWTKNzVxJj9gr66WO8xXo-nvSE*sHNl8Bw3AR/WEMA.jpg)
WEMA: SIMLISHI DIAMOND VIPORO
MAHABATi! Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amedhihirisha kuwa yeye ni mwanamke tayari wa kuwekwa ndani baada ya kusema anajitahidi kila siku katika suala la mapishi ili asimlishe viporo mwandani wake, Nasibu Abdul, ‘Diamond’. Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ akiwa na mwandani wake 'Diamond Platinumz'. Akipiga domo na paparazi wetu, Wema alisema kama mwanamke...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ykhHUq56Kss/U0Y0nv3ywFI/AAAAAAAFZlU/yHgYIMszs9g/s72-c/unnamed+(1).jpg)
VIPORO VILIVYOBAKI VIFANYIWE KAZI-TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ykhHUq56Kss/U0Y0nv3ywFI/AAAAAAAFZlU/yHgYIMszs9g/s1600/unnamed+(1).jpg)
9 years ago
Habarileo12 Nov
NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Askofu Shoo: Viporo escrow vinaumiza tumbo
Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo jana alitoa ujumbe mzito kwa Rais Jakaya Kikwete alipomtaka kuwawajibisha haraka wahusika kwenye kashfa ya escrow kwa kuwa “viporo vinaumiza tumboâ€.
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Ebola na Vibweka vyake
Mwanafunzi Amara kutoka Sierra Leone amekua akikataliwa kupanga katika jiji la Norwich kwa hofu huenda ana virusi vya ugonjwa wa Ebola
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2U2kF1zWKZA/VYVm2lWzhcI/AAAAAAAC7KE/vUNWrSdi9GU/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
NATHAN MPANGALA NA VIMBWANGA VYAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-2U2kF1zWKZA/VYVm2lWzhcI/AAAAAAAC7KE/vUNWrSdi9GU/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
http://nathanmpangala.blogspot.com/
https://www.facebook.com/pages/Nathan-Mpangala/696871333752030
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania