Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge limalize viporo vyake

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na viporo vingi ambavyo havijatolewa uamuzi na kiti cha spika kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge. Kwa mujibu wa kanuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BUNGE LA VIJANA LAANZA VIKAO VYAKE KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI DODOMA

Picha na habari na  Owen Mwandumbya, Dodoma  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeandaa Bunge la Vijana linalofanyika Mjini Dodoma kwa siku tatu, ikiwa ni jitihada la kuwajengea uwezo vijana wa vyuo vikuu nchini. Bunge hilo liloanza vikao vyake juzi linalojumuisha Vijana kutoka Vyuo Vikuu 15 vya hapa Nchini vinavyozunguka mkoa wa Dodoma.  Bunge hilo linalotarajiwa kumalizika tarehe 3 Desemba, 2014, ni sehemu ya Mpango wa Elimu kwa Umma ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

GPL

WEMA: SIMLISHI DIAMOND VIPORO

MAHABATi! Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amedhihirisha kuwa yeye ni mwanamke tayari wa kuwekwa ndani baada ya kusema anajitahidi kila siku katika suala la mapishi ili asimlishe viporo mwandani wake, Nasibu Abdul, ‘Diamond’. Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ akiwa na mwandani wake 'Diamond Platinumz'. Akipiga domo na paparazi wetu, Wema alisema kama mwanamke...

 

11 years ago

Michuzi

VIPORO VILIVYOBAKI VIFANYIWE KAZI-TANZANIA

 .Kiongozi wa Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  katika Mkutano wa 47 wa  Tume ya Idadi ya Watu na Maendeleo, Bw. Charles Pallangyo, Katibu Mkuu, Wizara ya  Afya na Ustawi wa Jamii,  akizungumza wakati wa  majadiliano ya jumla kuhusu mada kuu ya mkutano huu wa siku  tano kuhusu tathmini ya  utekelezaji wa  Mapango wa Utekelezaji wa Mkutano wa Kimataifa  juu ya Idadi ya Watu na Maendeleo (ICPD) uliofanyika mwaka 1994 huko Cairo, Misri. Wanaooneka nyuma ni   Bw. Noel Kaganda, Afisa...

 

9 years ago

Habarileo

NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Shoo: Viporo escrow vinaumiza tumbo

Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo jana alitoa ujumbe mzito kwa Rais Jakaya Kikwete alipomtaka kuwawajibisha haraka wahusika kwenye kashfa ya escrow kwa kuwa “viporo vinaumiza tumbo”.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola na Vibweka vyake

Mwanafunzi Amara kutoka Sierra Leone amekua akikataliwa kupanga katika jiji la Norwich kwa hofu huenda ana virusi vya ugonjwa wa Ebola

 

10 years ago

Michuzi

NATHAN MPANGALA NA VIMBWANGA VYAKE

Kwa katuni zaidi tembelea link hizi:
http://nathanmpangala.blogspot.com/
https://www.facebook.com/pages/Nathan-Mpangala/696871333752030

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani