Askofu Shoo: Viporo escrow vinaumiza tumbo
Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo jana alitoa ujumbe mzito kwa Rais Jakaya Kikwete alipomtaka kuwawajibisha haraka wahusika kwenye kashfa ya escrow kwa kuwa “viporo vinaumiza tumboâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Askofu Shoo awa mkuu mpya KKKT
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Askofu Shoo: Tunatarajia baraza lenye sura mpya
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Askofu asimulia mgawo wa Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya na kusimulia namna alivyopokea Sh milioni 40.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engireering & Marketing Ltd, James Rugemalila.
Fedha hizo, ni sehemu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Askofu Nzigilwa ni mmoja wa watu waliotajwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), mwaka jana kuwa alipokea...
10 years ago
VijimamboAskofu aeleza alivyoingiziwa mamilioni ya Escrow
Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya kuhusu mgao wa Sh. milioni 40 alioupata kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VIP Engineering & Marketing Limited, James Rugemalira.
Ukimya wa Askofu Nzigilwa unatokana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Akaunti hiyo ilifunguliwa baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Bunge limalize viporo vyake
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na viporo vingi ambavyo havijatolewa uamuzi na kiti cha spika kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge. Kwa mujibu wa kanuni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKks6LGQYkqUvZGm5H72gd3X-MMffutna3r-grO67bZPnEYt*V6iWTKNzVxJj9gr66WO8xXo-nvSE*sHNl8Bw3AR/WEMA.jpg)
WEMA: SIMLISHI DIAMOND VIPORO
9 years ago
Habarileo12 Nov
NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ykhHUq56Kss/U0Y0nv3ywFI/AAAAAAAFZlU/yHgYIMszs9g/s72-c/unnamed+(1).jpg)
VIPORO VILIVYOBAKI VIFANYIWE KAZI-TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ykhHUq56Kss/U0Y0nv3ywFI/AAAAAAAFZlU/yHgYIMszs9g/s1600/unnamed+(1).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)