Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIPORO VILIVYOBAKI VIFANYIWE KAZI-TANZANIA

 .Kiongozi wa Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  katika Mkutano wa 47 wa  Tume ya Idadi ya Watu na Maendeleo, Bw. Charles Pallangyo, Katibu Mkuu, Wizara ya  Afya na Ustawi wa Jamii,  akizungumza wakati wa  majadiliano ya jumla kuhusu mada kuu ya mkutano huu wa siku  tano kuhusu tathmini ya  utekelezaji wa  Mapango wa Utekelezaji wa Mkutano wa Kimataifa  juu ya Idadi ya Watu na Maendeleo (ICPD) uliofanyika mwaka 1994 huko Cairo, Misri. Wanaooneka nyuma ni   Bw. Noel Kaganda, Afisa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge limalize viporo vyake

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na viporo vingi ambavyo havijatolewa uamuzi na kiti cha spika kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge. Kwa mujibu wa kanuni...

 

10 years ago

GPL

WEMA: SIMLISHI DIAMOND VIPORO

MAHABATi! Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amedhihirisha kuwa yeye ni mwanamke tayari wa kuwekwa ndani baada ya kusema anajitahidi kila siku katika suala la mapishi ili asimlishe viporo mwandani wake, Nasibu Abdul, ‘Diamond’. Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ akiwa na mwandani wake 'Diamond Platinumz'. Akipiga domo na paparazi wetu, Wema alisema kama mwanamke...

 

9 years ago

Habarileo

NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Shoo: Viporo escrow vinaumiza tumbo

Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo jana alitoa ujumbe mzito kwa Rais Jakaya Kikwete alipomtaka kuwawajibisha haraka wahusika kwenye kashfa ya escrow kwa kuwa “viporo vinaumiza tumbo”.

 

11 years ago

Michuzi

WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI

Baada ya kuhaha kwa muda mrefu kutafuta jinsi ya kuuza kazi zao, mkombozi wa swala la kuibiwa jasho lao amekuja kwa njia ya MKITO, mtandao ambao unauza kazi za wasanii mtandaoni kirahisi kabisa. 
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA 

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) kwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ajira wa Qatar wakisaini Mkataba wa Kazi ambao unalenga kuwawezesha Watanzania hususan vijana wenye ujuzi/taaluma katika fani mbalimbali kupata fursa za ajira na kazi za staha, ujira stahiki, kujiunga na hifadhi za jamii nchini Qatar.  Mkataba huo pia unazingatia sheria na viwango vya kazi kulingana na Mikataba ya Kimaataifa ikiwemo ya Shirika la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vijana Tanzania walioamua kubadili mtizamo wa kazi ya uchuuzi wa mitaani

Ni Jambo la kawaida, unapokuwa unatembea mitaani katika nchi za Afrika kukutana na wachuuzi wa mtaani al maarufu wamachinga, kutokana na ukosefu wa ajira. Lakini Alexanda Manyika na Noah Jotum ni wamachinga wanaobadili mtizamo wa kawaida kuhusu wachuuzi hao

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA UBELGIJI YA TPF SAMBRE YAANZA KUFANYA KAZI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni ya ushauri ya TPF Basse Sambre baada kukutana nao leo ofisini kwake Brussels. Wa kwanza kulia ni Bwana. Stefan Pousset Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo na wa kwanza kushoto ni Bwana Jerome Bestgen Meneja wa mauzo wa kampuni hiyo. Wa pili kulia ni Bwana Nyamtara Mukome afisa katika Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji. Wawakilshi hao walimweleza Balozi Kamala  kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani