VIPORO VILIVYOBAKI VIFANYIWE KAZI-TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ykhHUq56Kss/U0Y0nv3ywFI/AAAAAAAFZlU/yHgYIMszs9g/s72-c/unnamed+(1).jpg)
.Kiongozi wa Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa 47 wa Tume ya Idadi ya Watu na Maendeleo, Bw. Charles Pallangyo, Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, akizungumza wakati wa majadiliano ya jumla kuhusu mada kuu ya mkutano huu wa siku tano kuhusu tathmini ya utekelezaji wa Mapango wa Utekelezaji wa Mkutano wa Kimataifa juu ya Idadi ya Watu na Maendeleo (ICPD) uliofanyika mwaka 1994 huko Cairo, Misri. Wanaooneka nyuma ni Bw. Noel Kaganda, Afisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMvG5PIThg/VV89LNxP0mI/AAAAAAAHZOE/v2ezYwA1PUI/s72-c/unnamed.jpg)
REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Bunge limalize viporo vyake
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na viporo vingi ambavyo havijatolewa uamuzi na kiti cha spika kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge. Kwa mujibu wa kanuni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKks6LGQYkqUvZGm5H72gd3X-MMffutna3r-grO67bZPnEYt*V6iWTKNzVxJj9gr66WO8xXo-nvSE*sHNl8Bw3AR/WEMA.jpg)
WEMA: SIMLISHI DIAMOND VIPORO
9 years ago
Habarileo12 Nov
NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Askofu Shoo: Viporo escrow vinaumiza tumbo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s72-c/top-banner-amini.jpg)
WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s1600/top-banner-amini.jpg)
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi02 Jun
TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA
![](https://4.bp.blogspot.com/-VlUQ04yeLL0/U4xkUzK5LQI/AAAAAAAAUJY/Uvk-1UUqh_I/s1600/IMG_4560.jpg)
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Vijana Tanzania walioamua kubadili mtizamo wa kazi ya uchuuzi wa mitaani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9As_aE-v078/VATypqrnm6I/AAAAAAAGaks/z4361jKAUek/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
KAMPUNI YA UBELGIJI YA TPF SAMBRE YAANZA KUFANYA KAZI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9As_aE-v078/VATypqrnm6I/AAAAAAAGaks/z4361jKAUek/s1600/unnamed%2B(11).jpg)