Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge, Serikali wanapaswa kuheshimiana_

Alhamisi iliyopita tuliwasikia wabunge wakichachamaa bungeni kwamba Serikali imekuwa inafanya uamuzi bila kuzingatia ushauri au maagizo ya Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa serikali za mitaa wanapaswa kulinda watoto dhidi ya ndoa za utotoni (2)

WIKI iliyopita katika tafakuri yetu hii, tulianza kujadili matokeo ya kukithiri kwa mimba za utotoni kama janga la kitaifa ambalo linasababishwa na kuwepo kwa mifumo ya kiutawala ambayo haijali na kuzingatia...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wanapaswa kuelewa kazi za APRM

MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM-Tanzania), ulikabidhi ripoti yake Januari mwaka jana na kukaguliwa na Umoja wa Afrika (AU). Kazi hiyo ya kupitia ripoti ilifanyika Addis Ababa, Ethiopia, na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto

Wazazi wengi hawazingatii madhara ya kuwa na watoto walionenepa kupita kiasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba na timu yake wanapaswa kupongezwa

“Rasimu ya Katiba ya sasa ndiyo suluhisho pekee la kuondokana na taifa lenye wazee tegemezi, kwani imeweka  mfumo mzuri  katika Sekta ya Elimu na Afya kwa vijana na watoto.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni

Pendekezo la muundo wa Muungano kuwa wa serikali tatu lililomo kwenye Rasimu ya Katiba, linaonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.

 

9 years ago

Global Publishers

Wapendanao wanapaswa kuzitumiaje Krismasi na Mwaka Mpya?

happycouplemain.jpgNianze kwa kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya wasomaji wa safu hii. Najua kabla ya mwaka huu kufika, kila mtu alijiwekea malengo yake. Kuna ambao walipanga kuoana, kuchumbiana au kutambulishana. Mmetimiza ahadi yenu?

Katika makundi hayo yote, hapo waliofanikiwa kufikia hatua waliyojipangia lakini pia wengine hawakuweza kufikia malengo yao. Penzi sahihi ni lile lenye malengo. Mkiishi katika uhusiano ambao kila mmoja wenu anawaza lake, hakuna maisha.

Kwenye uhusiano lazima kuwe na...

 

5 years ago

Michuzi

WAWEKEZAJI WANAPASWA KUTIMIZA MATAKWA YA SHERIA YA UHIFADHI WA MAZINGIRA-WAZIRI ZUNGU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (mwenye kofia) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Uzalishaji Hinduka Kamalamo wa kiwanda cha cha kutengeneza mifuko mbadala aina ya ‘non woven’ cha Jin Yuan Investment kilichopo Nyakato wilayani Ilemela mkoani Mwanza wakati wa ziara yake ya kikazi.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwa kwenye Hoteli ya Malaika jijini Mwanza alipofanya ziara ya kusikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani