Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wanapaswa kuelewa kazi za APRM

MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM-Tanzania), ulikabidhi ripoti yake Januari mwaka jana na kukaguliwa na Umoja wa Afrika (AU). Kazi hiyo ya kupitia ripoti ilifanyika Addis Ababa, Ethiopia, na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

APRM na kazi zake

MACHI 9 ya kila mwaka, Tanzania huungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku hiyo. Maadhimisho hayo yalipitishwa Januari mwaka jana...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"

FieldMashall Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Sikonge hii leo Mkoani Tabora wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha Mapinduzi,Mwigulu Nchemba amewasisitiza Wananchi wa Sikonge Kuachana na siasa za Makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi,"Wananchi wote,WanaCCM wote tuunganishe nguvu zetu kukipa Ushindi chama cha Mapinduzi,Tuunganishe nguvu kuhakikisha tunapata Mbunge wa CCM atakayeweza kutatua Matatizo ya Tumbaku hapa Sikonge"Mbali na hilo ,Mwigulu Nchemba ameendelea kusisitiza...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUJIFUNZA NA KUELEWA MASOMO MAGUMU

NDUGU mwanafunzi; bila shaka wewe ni moja kati ya wanaokiri kuwa masomo fulani ni magumu na umekata tamaa kuyasoma kiasi cha kusubiri kufeli katika mitihani yako. Kama siyo wewe basi unaweza kuwa umesikia baadhi ya wanafunzi wenzako wakilalamika kuwa: “Yaani masomo haya hatuyawezi.”  Kama mtaalam, natambua katika kutafuta elimu kuna masomo magumu na yamekuwa kikwazo cha wengi kutimiza ndoto zao. Kwa kufahamu hilo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ninaposhindwa kuelewa maana ya nyumba za bei nafuu

>Kama kuna msamiati mgumu kwangu, ni huu ninaousikia na kuusoma mara kwa mara kuwa kuna nyumba za bei nafuu hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Nilipata wakati mgumu familia kuelewa ninachofanya

Ukimuona huwezi kuamini anachosema lakini ukweli ni kwamba anna miaka 19 katika muziki wa dansi, anamudu kusimama jukwaani kucheza na kuimba kwa zaidi ya saa nane bila kuchoka huku akifanya hivyo siku tano kwa wiki kuanzia Jumatano hadi Jumapili.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge, Serikali wanapaswa kuheshimiana_

Alhamisi iliyopita tuliwasikia wabunge wakichachamaa bungeni kwamba Serikali imekuwa inafanya uamuzi bila kuzingatia ushauri au maagizo ya Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba na timu yake wanapaswa kupongezwa

“Rasimu ya Katiba ya sasa ndiyo suluhisho pekee la kuondokana na taifa lenye wazee tegemezi, kwani imeweka  mfumo mzuri  katika Sekta ya Elimu na Afya kwa vijana na watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto

Wazazi wengi hawazingatii madhara ya kuwa na watoto walionenepa kupita kiasi.

 

11 years ago

Michuzi

APRM yapata CEO mpya


Na Mwandishi Wetu, Malabo
MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) umempata Mtendaji wake Mkuu mpya atakayeongoza ofisi ya taasisi hiyo katika ngazi ya Bara la Afrika iliyoko mjini Midrand, Afrika Kusini.
Uamuzi huo umefikiwa katika Mkutano wa 21 wa Wakuu wa Nchi za APRM uliofanyika mjini hapa, ambapo aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Mpango wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Assane Mayaki kutoka Niger ndiye amehamishiwa APRM.
Mabadiliko hayo yamekuja wakati ambapo wakuu wa Nchi za APRM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani