Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JINSI YA KUJIFUNZA NA KUELEWA MASOMO MAGUMU

NDUGU mwanafunzi; bila shaka wewe ni moja kati ya wanaokiri kuwa masomo fulani ni magumu na umekata tamaa kuyasoma kiasi cha kusubiri kufeli katika mitihani yako. Kama siyo wewe basi unaweza kuwa umesikia baadhi ya wanafunzi wenzako wakilalamika kuwa: “Yaani masomo haya hatuyawezi.”  Kama mtaalam, natambua katika kutafuta elimu kuna masomo magumu na yamekuwa kikwazo cha wengi kutimiza ndoto zao. Kwa kufahamu hilo,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?

Je unashiriki vipi katika kujifunza kwa mtoto wako katika mwaka mpya wa masomo?

 

10 years ago

Michuzi

SIARA LEONE WAZURU NHIF KUJIFUNZA JINSI YA KUNDESHA MFUKO HUO KATIKA NCHI YAO

 Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa Wajumbe nchi hiyo  waliokuja kutembelea  Mfuko wa  Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na kwenda kutekeleza katika nchi yao  hafla hiyo imefanyika katika  ofisi za Makao Makuu  leo jijini Dar es Salaam. Afisa wa uanachama wa NHIF,Twahiru Hauke  akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wanapaswa kuelewa kazi za APRM

MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM-Tanzania), ulikabidhi ripoti yake Januari mwaka jana na kukaguliwa na Umoja wa Afrika (AU). Kazi hiyo ya kupitia ripoti ilifanyika Addis Ababa, Ethiopia, na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nilipata wakati mgumu familia kuelewa ninachofanya

Ukimuona huwezi kuamini anachosema lakini ukweli ni kwamba anna miaka 19 katika muziki wa dansi, anamudu kusimama jukwaani kucheza na kuimba kwa zaidi ya saa nane bila kuchoka huku akifanya hivyo siku tano kwa wiki kuanzia Jumatano hadi Jumapili.

 

10 years ago

Mwananchi

Ninaposhindwa kuelewa maana ya nyumba za bei nafuu

>Kama kuna msamiati mgumu kwangu, ni huu ninaousikia na kuusoma mara kwa mara kuwa kuna nyumba za bei nafuu hapa nchini.

 

10 years ago

Michuzi

JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA

Kitambi ni ile hali ya tumbo kuwa kubwa na kuchomoza kwa mbele na wakati mwingine kufikia hatua ya kuniníginia.
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani