Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Buriani Kapt John Komba

John Komba enzi za uhai wakeNI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Mamia wajitokeza kuuaga mwili wa Kapt. John Komba.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

Mamia ya watanzania wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi Capteni John Komba aliyefariki kutokana na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.

 

Capt. Komba alifariki Februari 28, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini Dar Es Salaam ambapo mwili wake umesafirishwa kwenda Songea mjini kwa ajili ya misa ya kumuaga na baadaye mwili huo utasafirishwa kuelekea Mbinga kwa ajili ya kupumzishwa kwenye nyumba ya milele.

 

Mbali na...

 

10 years ago

Habarileo

Buriani Kapteni John Komba

John Komba enzi za uhai wakeNI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.

 

10 years ago

CloudsFM

Kapt.John Komba awekwa kwenye nyumba yake ya milele

Makada wa chama cha Mapinduzi na baadhi ya wananchi wakiandaa makazi ya milele ya marehemu Kapt.John Komba kijijini kwao Lituhi,Nyasa,mkoani Ruvuma.

 

10 years ago

CloudsFM

Marehemu Kapt. John Komba kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa,Ruvuma

Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa NEC,Marehemu Kapt.John Komba unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa mkoani Ruvuma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

CloudsFM

marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa

http://www.google.co.tz/imgres?imgurl=http://4.bp.blogspot.com/-TXxYlldF76U/UYzCQwXjabI/AAAAAAAAACo/I99o7Tt2ccU/s1600/KOMBA.jpg&imgrefurl=http://kwelinahaki.blogspot.com/2013_05_01_archive.html&h=1200&w=1600&tbnid=66ArF3GxkVAhVM:&zoom=1&docid=07QytNiYiUSx3M&itg=1&hl=en-US&ei=iRz0VKTqNYrlaLSNggg&tbm=isch&ved=0CCAQMygFMAU Mwili Wa Kapr.John Komba utaagwa katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Leo tar.2 March baada ya hapo utasafirishwa hadi mjini Songea ambapo wanachi wa mji watapata fursa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

MAPOKEZI YA MWILI WA KAPT. KOMBA RUVUMA

MKUU wa Mkoa Ruvuma, Said Mwambungu akizungumza na wananchi waliofika katika uwanja Majimaji, Songea kabla ya kutoa heshima heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi , Marehemu Kapteni John Komba.
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma, Helena Shumbusho baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea,  mkoani humo kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Kada wa CCM na Mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu, Kapteni John Komba ambaye...

 

10 years ago

GPL

BANZA ALIA KUSHINDWA KUMUAGA KAPT. KOMBA

BAADA ya mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba kuagwa na kusafirishwa kwenda kuzikwa mkoani kwao Ruvuma, msanii wa muziki wa dansi, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejikuta akilia na kusema ameumia sana kwa kushindwa kwenda kumuaga bosi wake huyo wa zamani kutokana na afya yake kuwa si shwari. Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza...

 

10 years ago

GPL

NAPE, NISHA KIVUTIO MSIBA WA KAPT. KOMBA

Na Hamida Hassan: Umahiri wa hali ya juu wa uimbaji ulioneshwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na msanii wa filamu Salma Jabu ‘Nisha’ juzikati walikuwa kivutio kwa waombolezaji waliokuwa katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar ambako mwili wa marehemu Kapteni John Komba ulikuwa ukiagwa. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye (katikati) akiimba wimbo maalum na wasanii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani