Mamia wajitokeza kuuaga mwili wa Kapt. John Komba.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Mamia ya watanzania wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi Capteni John Komba aliyefariki kutokana na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.
Capt. Komba alifariki Februari 28, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini Dar Es Salaam ambapo mwili wake umesafirishwa kwenda Songea mjini kwa ajili ya misa ya kumuaga na baadaye mwili huo utasafirishwa kuelekea Mbinga kwa ajili ya kupumzishwa kwenye nyumba ya milele.
Mbali na...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s72-c/DSC_0123.jpg)
Mamia wajitokeza kuuaga Mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s1600/DSC_0123.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x11H1ZDScaY/UzV08agEGLI/AAAAAAAFW_E/LaXblkRcMIE/s1600/DSC_0131.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lwgqdMYck4/UzV083h7AmI/AAAAAAAFW_M/qDXWf8aWfTk/s1600/DSC_0129.jpg)
10 years ago
Uhuru NewspaperSHUGHULI YA KUUAGA MWILI WA KAPT. KOMBA, VIWANJA VYA KARIAMJEE
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
JK aongoza mamia kuaga mwili wa Capt. John Komba Karimjee leo
Kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati shughuli za kutoa heshima za mwisho msiba wa Captain John Komba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Rais mtsaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Mzee Kingunge alipowasili kwenye viwanja hivyo.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) akiteta jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa makapuni ya IPP, Dkt....
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-cxunJaW04xo/VPXmPWy62ZI/AAAAAAAAB20/GmOJsKiYm3w/s72-c/Komba%2B1.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA KAPT. KOMBA RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cxunJaW04xo/VPXmPWy62ZI/AAAAAAAAB20/GmOJsKiYm3w/s1600/Komba%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPXxxfIfxQ/VPXmPQMmzPI/AAAAAAAAB24/h_suIAlm9oo/s1600/Komba%2B2.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Mar
Buriani Kapt John Komba
NI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kikwete aongoza mamia kuuaga mwili wa Dk Shija
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Kapt.John Komba awekwa kwenye nyumba yake ya milele
Makada wa chama cha Mapinduzi na baadhi ya wananchi wakiandaa makazi ya milele ya marehemu Kapt.John Komba kijijini kwao Lituhi,Nyasa,mkoani Ruvuma.
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Marehemu Kapt. John Komba kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa,Ruvuma
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa NEC,Marehemu Kapt.John Komba unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa mkoani Ruvuma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA WATANZANIA WENGINE KUUAGA MWILI WA KEPTENI JOHNE KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XbytSok9hO4/VPRGBq1EH7I/AAAAAAAHG9U/tjP3GLogk00/s1600/unnamed%2B(73).jpg)