SHUGHULI YA KUUAGA MWILI WA KAPT. KOMBA, VIWANJA VYA KARIAMJEE
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma, wakitoa salamu zao za mwisho.
RAIS Dk. Jakaya Kikwete akimfariji mke wa marehemu, nyuma yake ni wanafamilia.
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho.
MKE wa Marehemu akiuaga mwili
KATIBU wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi akitoa heshima za mwisho
KATIBU Mkuu wa CCM, Abrahman Kinana, akipiga saluti ya heshimu kwa mwili wa Kapt. Komba
KAMISHNA wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alikuwepo
Miongoni mwa waombolezaji,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV03 Mar
Mamia wajitokeza kuuaga mwili wa Kapt. John Komba.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Mamia ya watanzania wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi Capteni John Komba aliyefariki kutokana na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.
Capt. Komba alifariki Februari 28, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini Dar Es Salaam ambapo mwili wake umesafirishwa kwenda Songea mjini kwa ajili ya misa ya kumuaga na baadaye mwili huo utasafirishwa kuelekea Mbinga kwa ajili ya kupumzishwa kwenye nyumba ya milele.
Mbali na...
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
10 years ago
VijimamboLOWASSA AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Uhuru Newspaper
MAPOKEZI YA MWILI WA KAPT. KOMBA RUVUMA


11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA DKT SHIJA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM LEO



10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO


10 years ago
Vijimambo.jpg)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA WATANZANIA WENGINE KUUAGA MWILI WA KEPTENI JOHNE KOMBA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Mar
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA
1. 12:00 - 01:00
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
Kaimu Katibu wa Bunge 2. 01:00 - 04:00 Misa ya kuaga mwili wa Marehemu
Kanisa Katoliki,Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
3. 04:00 - 04:30 · Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
· Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
Katibu wa Bunge
4. 04:33 Kiongozi ...
10 years ago
GPL
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI