SHUGHULI YA KUUAGA MWILI WA KAPT. KOMBA, VIWANJA VYA KARIAMJEE
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma, wakitoa salamu zao za mwisho.
RAIS Dk. Jakaya Kikwete akimfariji mke wa marehemu, nyuma yake ni wanafamilia.
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho.
MKE wa Marehemu akiuaga mwili
KATIBU wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi akitoa heshima za mwisho
KATIBU Mkuu wa CCM, Abrahman Kinana, akipiga saluti ya heshimu kwa mwili wa Kapt. Komba
KAMISHNA wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alikuwepo
Miongoni mwa waombolezaji,...
Uhuru Newspaper