Buriani komredi wetu Mohammed Mtoi, utaishi mioyoni mwetu daima
“MAUTI yaliweza kuwatoa wapenzi machoni pake, kamwe hayakuweza kuwatoa moyoni mwake” haya ni mane
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Buriani Komredi Mawazo, mpe hongera zangu Ken Saro-Wiwa
“Dhamira yangu ni thabiti mno, utayari wangu kutimiza azma ya mioyo ya Watanzania na ile ya chama
Mwandishi Wetu
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s72-c/Mohamed%2BMtoi.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s640/Mohamed%2BMtoi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbJBh7I_UsY/VfT-ou140dI/AAAAAAABVGc/rwvnSDmrjMw/s640/IMG-20150912-WA0193.jpg)
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Jamii yetu iko mikononi mwetu
Mratibu wa Vijana, Bahati Juma (wa kwanza kulia) akiwa na wanafunzi wa darasa la saba, shule ya Msingi Uchunga, kupitia pamoja somo la kiswahili kituoni hapo.
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka. Ili kufikia malengo yanayotokana na misukumo na mageuzi yasiyokwepeka, binadamu amelazimika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIzBMRRb8orqeUj9PiZfzi2X6rLvz*CTQBRIt4RhhrKMCq7f0xpu08WIUv-jhrYGUWoV*uH-aefPzjSHvy4cDSK/13.jpg)
UTAISHI KWA KUUNGAUNGA, KUPIGA MIZINGA HADI LINI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEINPKxFObpaV6dig507sTFPzpIceOkb7-B2fKlftM4VRKaKviBanfiOtR98fk-Me0pkZMM5zpMl2aJ0dcH3Vsx7/BuenosAiresApartmentRentals111.jpg)
SHITUKA WEWE! UTAISHI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA MPAKA LINI?
9 years ago
Mwananchi08 Nov
MODESTA MBUGHUNI : Hatma ya maendeleo ya nchi yetu ipo mikononi mwetu wanawake
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Mbowe kuongoza mazishi ya Mtoi
Na Waandishi Wetu, Dar na Tanga
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe leo anatarajiwa kuongoza wananchi wa mkuza wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi Shemng’ombe (39).
Mtoi alifariki dunia juzi jioni, baada ya gari lake alililokuwa akisafiria kuacha njia na kupinduka kisha kuingia kwenye korongo wilayani Lushoto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Chadema,...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Mbowe aongoza mamia kumzika Mtoi
NA OSCAR ASSENGA, LUSHOTO
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), jana ameongoza mamia ya wananchi wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo, marehemu Mohomed Mtoi.
Katika mazishi hayo, Mbowe aliiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ihairishe uchaguzi wa jimbo la Lushoto ili waweze kuanza mchakato wa kutafuta mgombea mwingine wa kuziba nafasi iliyoachwa na marehemu Mtoi ambaye alifariki kwa ajali ya gari juzi.
Alisema uchaguzi wa...