Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Buriani komredi wetu Mohammed Mtoi, utaishi mioyoni mwetu daima

“MAUTI yaliweza kuwatoa wapenzi machoni pake, kamwe hayakuweza kuwatoa moyoni mwake” haya ni mane

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Buriani Komredi Mawazo, mpe hongera zangu Ken Saro-Wiwa

“Dhamira yangu ni thabiti mno, utayari wangu kutimiza azma ya mioyo ya Watanzania na ile ya chama

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI

Mgombea wa Ubunge, jimbo la Lushoto kwa ticket ya CHADEMA (Mohamed Mtoi) kafariki dunia katika ajali ya gari aliyopata baada ya kutoka kuzindua Kampeni yake tarafa ya Mlola. Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla. Gari alilopata nalo ajari marehemu
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi

 

10 years ago

Michuzi

BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Oktoba  14,  mwaka jana  Uwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa  Mwalimu Julius   kambarage Nyerere.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na  Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa  Umoja wa  Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa. Kitabu hicho   kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui   kwa kushirikiana...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jamii yetu iko mikononi mwetu

Mratibu wa Vijana, Bahati Juma (wa kwanza kulia) akiwa na wanafunzi wa darasa la saba, shule ya Msingi Uchunga, kupitia pamoja somo la kiswahili kituoni hapo.

Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka. Ili kufikia malengo yanayotokana na misukumo na mageuzi yasiyokwepeka, binadamu amelazimika...

 

11 years ago

GPL

UTAISHI KWA KUUNGAUNGA, KUPIGA MIZINGA HADI LINI?

MPENZI msomaji, leo nimedhamiria kuwazungumzia watu ambao Mungu amewapa afya njema na nguvu za kutosha lakini bila kuona aibu, wanaishi maisha ya kuungaunga kwa kupiga mizinga ikiwa ndiyo utaratibu wao wa kila siku. Ukweli ni kwamba kuna umuhimu mkubwa wa wale waliofanikiwa katika maisha kuwakumbuka na kuwasaidia wasiojiweza lakini kwa wale wazima, wenye afya na nguvu za kutosha hawastahili kusaidiwa bali wanatakiwa kutumia vile...

 

10 years ago

GPL

SHITUKA WEWE! UTAISHI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA MPAKA LINI?

Maisha siku zote ni kuwa na malengo, namaanisha malengo ya muda mfupi na yale ya muda mrefu. Kwamba unaishi huku ukijua mwaka huu utafanya jambo flani na mwaka kesho utafanya jambo flani.
Cha ajabu sasa wapo watu ambao hawana malengo yoyote, wanaishi ili mradi siku zinakwenda. Hili ni tatizo na ukijaribu kufuatilia utagundua wote wanaoishi bila malengo wana maisha magumu na wameridhika nayo. Yaani hawajui kesho yao itakuwaje na...

 

9 years ago

Mwananchi

MODESTA MBUGHUNI : Hatma ya maendeleo ya nchi yetu ipo mikononi mwetu wanawake

Katika kuperuzi kwangu mitandao nikitaka kujua hiki na kile, nilijikuta nikiwa nimekodoa macho kwenye mtandao wa Proffessional Approach Group

 

9 years ago

Mtanzania

Mbowe kuongoza mazishi ya Mtoi

MBOWENa Waandishi Wetu, Dar na Tanga

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe leo anatarajiwa kuongoza wananchi wa mkuza wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi Shemng’ombe (39).

Mtoi alifariki dunia juzi jioni, baada ya gari lake alililokuwa akisafiria kuacha njia na kupinduka kisha kuingia kwenye korongo wilayani Lushoto.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari  na Mawasiliano Chadema,...

 

9 years ago

Mtanzania

Mbowe aongoza mamia kumzika Mtoi

Pg 3NA OSCAR ASSENGA, LUSHOTO

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), jana ameongoza mamia ya wananchi wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo, marehemu Mohomed Mtoi.

Katika mazishi hayo, Mbowe aliiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ihairishe uchaguzi wa jimbo la Lushoto ili waweze kuanza mchakato wa kutafuta mgombea mwingine wa kuziba nafasi iliyoachwa na marehemu Mtoi ambaye alifariki kwa ajali ya gari juzi.

Alisema uchaguzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani