CAF yaagiza hatua kali dhidi ya Algeria
CAF yataka hatua kali kuchukuliwa kufuatia mauaji ya mchezaji wa Cameroon hukoAlgeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
CAF yaagiza Guinea na Togo kucheza nje
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Hatua kali kwa wanaharakati waliokamatwa DRC
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
‘Hatua kali zinahitajika kupambana ukatili kwa watoto’
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimevitaka vyombo vya usalama wa taifa, polisi na mahakama kushirikiana kikamilifu katika kupambana na wahalifu wanaohusika na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
TCRA izimulike blogs ‘Uchwara’ na kuzichukulia hatua kali
“Screen shot” ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.
…Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo Intaneti wapo wanayoyatumia vibaya.
Kupitia BLOG, mtandao ambao...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Hatua kali zichukuliwe majanga ya meli Bahari ya Hindi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3sYZLvHv6wc/Xq6_25hj0yI/AAAAAAALo8Y/h6jH_osJgssRp6BOklXFFxk0Bm_wfpxygCLcBGAsYHQ/s72-c/53189889_303.jpg)
DC KIGOMA WASIOVAA BARAKOA KUKAMATWA NA KUCHUKULIWA HATUA KALI
MKUU wa wilaya Kigoma Samson Anga ametangaza kuwa watu wote ambao watakutwa hawajavaa barakoa kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona watakamatwa na kuchukuliwa hatua.
Anga alisema hayo wakati akieleza tathmini ya agizo la Mkuu wa mkoa Kigoma, Emanuel Maganga alilolitoa Meo Mosi mwaka huu kutaka watu wote mkoani humo kuanza kuvaa barakoa kuanzia Mei 2 mwaka huu wanapokuwa nje ya makazi yao na kwenye...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali