Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hatua kali zinahitajika kupambana ukatili kwa watoto’

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimevitaka vyombo vya usalama wa taifa, polisi na mahakama kushirikiana kikamilifu katika kupambana na wahalifu wanaohusika na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hatua kali kwa wanaharakati waliokamatwa DRC

Waziri wa Habari Lambert Mende amesema wanaharataki ambao wanaozuiliwa waliletwa ndani ya nchi ili kuongoza maasi dhidi ya serikali.

 

9 years ago

StarTV

Uchafuzi Wa Mazingira Mwanza Hatua kali kuchukuliwa kwa wahusika

Kamati ya usafi wa mazingira ya Pasiansi Mashariki imeitaka halmashauri ya jiji la Mwanza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote wanaohusika kuchafua mazingira na kuhatarisha maisha ya watu.

Ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya watu ambao wanadaiwa kutiririsha maji taka na vinyesi katika mitaro inayotiririshamaji kuelekea katika Ziwa Viktoria.

Haya yanajiri katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na diwani wa kata ya Kawekamo wilayani Ilemela jijini Mwanza Japhesi Joel pamoja na kamati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.

Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto

TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto

VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali kwa kuwa na watoto 3 China

Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja  wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa  Shirika...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa kutokomeza ukatili kwa watoto wazinduliwa

SERIKALI imezindua mradi wa kusimamia matukio ya ukatili kwa watoto nchini, lengo likiwa ni kuhakikisha haki inapatikana.

 

11 years ago

Habarileo

Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka

WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani