Mradi wa kutokomeza ukatili kwa watoto wazinduliwa
SERIKALI imezindua mradi wa kusimamia matukio ya ukatili kwa watoto nchini, lengo likiwa ni kuhakikisha haki inapatikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa Shirika...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto
“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FuxPfce7Qok/XlEWOl2GSTI/AAAAAAALe0o/rcaSkNVfylgqgvC7Z3BEAS8msd2NKlmrACLcBGAsYHQ/s72-c/A-22-1024x697.jpg)
WIZARA YABARIKI MSAFARA WA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FuxPfce7Qok/XlEWOl2GSTI/AAAAAAALe0o/rcaSkNVfylgqgvC7Z3BEAS8msd2NKlmrACLcBGAsYHQ/s640/A-22-1024x697.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1AA-7-1024x763.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara Bw. Leornard Mchau akizungumza na wawakilishi wa msafara wa wa kitaifa wa wa kijinsia wenye lengo la kutokomeza ukatili wa kijinsia leo jijini Dodoma utakoanzia Mpanda mkoano Latavi tarehe 24/02/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2A-3-1024x773.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGWffxgejeNLUKBTXBsTne1iyXtFzeu*PlO3Qq5bxy5ZgKDqW5FfxPbxGN1C8hSd8*PrNx3lSJ9UkO4lTQ1yL0J/ErnestMangu.jpg?width=650)
TUUNGANE KUTOKOMEZA UKATILI WANAOFANYIWA NDUGU ZETU ALBINO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto
TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto
VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...