Cahill asaini mkataba mpya Chelsea
Beki wa kati wa timu ya taifa ya England na klabu ya Chelsea Gary Cahill amesaini mkataba mpya wa miaka minne na klabu yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
Gary Cahill asaini mkataba mpya Chelsea
![2EE709EF00000578-3343099-image-a-11_1449077194763](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2EE709EF00000578-3343099-image-a-11_1449077194763-300x194.jpg)
Mchezaji Gary Cahill ambaye ni beki wa kati wa timu ya taifa ya England na klabu ya Chelsea amesaini mkataba mpya wa miaka minne na klabu yake.
Cahil alisajiliwa mwaka 2012 akitokea timu ya Bolton, kwa dau la pauni milioni 7.
Mkataba wa sasa wa beki huyo kisiki ulikua umalizike mwishoni mwa msimu huu wa ligi, baada ya kusaini mkataba mpya Cahill alisema, “nimefanikiwa zaidi nikiwa hapa nitaendelea kujifunza, na kuisaidia timu yangu katika kutwaa mataji katika miaka minne ijayo.”
Katika...
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Ramos asaini mkataba mpya
9 years ago
Bongo511 Sep
De Gea asaini mkataba mpya Manchester United
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Jordan Henderson asaini mkataba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s72-c/maximo3.jpg)
MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s1600/maximo3.jpg)
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano hayo...
9 years ago
Bongo520 Nov
Producer C9 asaini mkataba wa usimamizi na Panamusiq
![C9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/C9-300x194.jpg)
Producer wa muziki Charles Francis aka C9 ameasini mkataba wa muda mrefu wa usimamizi na kampuni ya Panamusiq Ltd.
Panamusiq wameandika kwenye taarifa kwa vyombo vya habari:
“Panamusiq is pleased to announce the signing of Tanzanian top producer C9 who has entered a long term management contract with the Dar based music company.”
Producer huyo ameungana na wasanii ambao tayari walikuwa wameingia kwenye usimamizi wa kampuni hiyo akiwemo Feza Kessy na Linah.
Ben Pol naye aliwahi kusaini na...
9 years ago
Bongo503 Oct
T.I. asaini mkataba mnono na Warner Bros Television
10 years ago
Dewji Blog27 May
Waziri Nyalandu asaini Mkataba Msumbijii kulinda Selous
Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akibadilishana hati za makubaliano ya kuhifadhi Pori la akiba la selous nchini Tanzania lililoungana na Hifadhi ya Nnyasa nchini Msumbiji na waziri wa Ardhi na Maendeleo vijijini Celso Coreia, ambapo mbali na uhifadhi watashirikiana kupambana na ujangili , utaalamu na vifaa, jana mjini Maputo Msumbiji.
Waziri wa maliasili na Utalii, lazaro Nyalandu akimsikiliza waziri wa Ardhi na Maendeleo vijijini, Celso Coreia jana mjini Maputo kabla ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ELYeooA1CJM/VWVuyz3CjUI/AAAAAAAAuVk/rQd6VL3iAz8/s72-c/1.jpg)
WAZIRI NYALANDU ASAINI MKATABA MSUMBIJI KULINDA SELOUS
![](http://2.bp.blogspot.com/-ELYeooA1CJM/VWVuyz3CjUI/AAAAAAAAuVk/rQd6VL3iAz8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UMNVif6xfm0/VWVuxvuthxI/AAAAAAAAuVc/AlQCchtDNZM/s640/6.jpg)