Cannavaro, Nooij wamtosa Ronaldo
Nahodha wa Yanga na Tanzania, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni mmoja wa manahodha watatu kati ya 82 waliopiga kura ya kumchagua Lionel Messi kuwa mwanasoka bora wa mwaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Mawaziri wamtosa Spika Makinda
BAADHI ya Mawaziri na Manaibu wao, wamekacha kuhudhuria hafla maalum ya kumpongeza Spika wa Bunge la Muungano, Anne Makinda, ambaye hivi karibuni alichaguliwa kwa kishindo kuwa Rais wa Bunge SADC...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wafuasi wa Lowassa Zanzibar wamtosa rasmi
WAJUMBE wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar waliokuwa kambi ya mtia nia ya urais, Edward Lowassa wametangaza kutomfuata kada huyo aliyehamia Chadema na kusema kumuunga mkono mgombea urais aliyepitishwa na chama hicho, John Magufuli.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MveGBybi5eAw1YId6bpTOhtW6d8lDubqjSQUaSyiefX40eLnL*WlRJr5GoTd6UbZY6HWC6OlNxCSMAEkc862bzt/QQQQQ.jpg)
Cannavaro aikosa... Azam FC
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Cannavaro arejea Yanga
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Ngoma, Cannavaro ‘waua’
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Cannavaro anogewa Tanzania
![Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Fabio-Cannavaro.jpg)
Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MCHEZAJI bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro, amenogewa na mandhari ya Tanzania pamoja na ukarimu wa watu wa hapa walioonyeshwa, akiwa na kikosi cha magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid.
Cannavaro ameongozana na magwiji hao wenzake akiwemo winga, Luis Figo, Christian Karembeu na Ruben de la Red, waliocheza na kikosi maalumu cha wachezaji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9pB5Rm2diMUOulqt6Jq9ZUZXYeWga-q2eyGeAcNDGCa3kLT4jFzK0Mp-lXpfgth1f*EDaQ2bDFVphkAp6P-AJGP/Cannavaro2.jpg?width=750)
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Cannavaro: Tutaifunga Malawi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kuwa wamepania kupata ushindi dhidi ya Malawi ‘The Flames’ kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam keshokutwa ili kuondoa mdudu wa sare tangu Charles Mkwasa apewe kibarua cha kuinoa timu hiyo.
Stars itamenyana na Flames katika mchezo wa awali wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, Mkwasa ataingia kwenye mechi hiyo akiwa hajaambulia ushindi katika mechi mbili za...
10 years ago
TheCitizen05 Feb
Cannavaro aizamisha Coastal Union