CCM na mzimu wa 2010 Mbeya
WAKATI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Mbeya kikikuna kichwa jinsi ya kulirudisha jimbo hilo kat
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Ufaransa kafuta mzimu wa 2010?
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Mzimu wa UKAWA unavyoitetemesha CCM
SIKUWAHI kuulizwa swali na askari wastaafu waliotumikia kazi zao kwa moyo na uadilifu mkubwa kwenye vikosi mbalimbali vya kijeshi, lakini sasa nimeulizwa maswali mengi tangu mchakato wa kuandikwa kwa katiba...
11 years ago
Habarileo26 Apr
Mzimu wa Zitto wamfikisha katibu wa Chadema, CCM
MZIMU wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe umeelezwa kumkimbiza hadi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Katibu wa Chadema jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Mzimu’ wa Aboud Jumbe bado unaiandama CCM
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476918/highRes/844597/-/maxw/600/-/5egg5tz/-/lembeli+clip.jpg)
Dodoma. Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.Lembeli, mmoja wa wabunge walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya ufisadi, alisema mpango huo ulitekelezwa kwa kueneza taarifa za kuanzisha jimbo la Ushetu ambalo alitakiwa agombee badala ya...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010
10 years ago
Mwananchi13 May
CCM: Haya ndiyo tuliyoshindwa, kufanikiwa Ilani ya 2010/2015
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WUnpghQIhTk/VbQ5DnCPGCI/AAAAAAAAFXI/QF3NEQdt4A8/s72-c/HEPAUTWA.jpg)
HEPAUTWA:NAFAHAMU MAUMIVU YALIYOTOKEA KWA WANA CCM BAADA YA KUICHAGUA CHADEMA UCHAGUZI WA MWAKA 2010
![](http://4.bp.blogspot.com/-WUnpghQIhTk/VbQ5DnCPGCI/AAAAAAAAFXI/QF3NEQdt4A8/s640/HEPAUTWA.jpg)
Na Friday Simbaya, Iringa
KADA maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mjini Iringa, Nuru Hepautwa amesema anafahamu maumivu yaliyotokea kwa wana CCM baada ya kuachia jimbo hilo mikononi mwa Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2010 lakini akaahidi kuyamaliza endapo atapewa ridhaa hiyo.
Hepautwa ambaye pia ni mfadhili wa mashindano ya soka yaliyojizolea umaarufu mjini Iringa ya...