Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010

Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010

Mbunge wa Kahama, James Lembeli akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na waandishi. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dodoma. Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.Lembeli, mmoja wa wabunge walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya ufisadi, alisema mpango huo ulitekelezwa kwa kueneza taarifa za kuanzisha jimbo la Ushetu ambalo alitakiwa agombee badala ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HEPAUTWA:NAFAHAMU MAUMIVU YALIYOTOKEA KWA WANA CCM BAADA YA KUICHAGUA CHADEMA UCHAGUZI WA MWAKA 2010

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mjini Iringa, Nuru Hepautwa akizungumza jambo kwenye moja ya mkutano wa chama
Na Friday Simbaya, Iringa
KADA maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mjini Iringa, Nuru Hepautwa amesema anafahamu maumivu yaliyotokea kwa wana CCM baada ya kuachia jimbo hilo mikononi mwa Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2010 lakini akaahidi kuyamaliza endapo atapewa ridhaa hiyo.
Hepautwa ambaye pia ni mfadhili wa mashindano ya soka yaliyojizolea umaarufu mjini Iringa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ofisi ya Msajili yakwama ripoti gharama za uchaguzi wa 2010

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeshindwa kutoa ripoti ya gharama za uchaguzi zilizotumiwa na wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwamo ubunge na urais katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2010.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM na mzimu wa 2010 Mbeya

WAKATI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Mbeya kikikuna kichwa jinsi ya kulirudisha jimbo hilo kat

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010

130

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aichanganya CCM

WIKI moja baada ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli (CCM), kutoa kauli inayofananishwa na ile ya hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere, ya kwamba chama hicho si mama yake, uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: CCM si mama yangu

JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Lembeli aichefua CCM Shinyanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na mwanachama wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli kwamba CCM si mama yake.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM: Haya ndiyo tuliyoshindwa, kufanikiwa Ilani ya 2010/2015

>Vyama vya siasa, vinajiandaa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwa kila kimoja kuanza kutengeneza Ilani yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani