Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli aichefua CCM Shinyanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na mwanachama wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli kwamba CCM si mama yake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lembeli awatadharisha wananchi Shinyanga

LEMBENa Kadama Malunde

MGOMBEA ubunge wa   Kahama mjini   kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), James Lembeli,  amewataka watanzania kupuuza propaganda inayoenezwa kuwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli,  ni msukuma ili kuwarubuni watu wa Kanda ya Ziwa wampigie kura.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu ujao za Ukawa katika Wilaya ya Shinyanga uliofanyika jana katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga, Lembeli alisema siyo kweli kwamba Magufuli yuko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aichanganya CCM

WIKI moja baada ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli (CCM), kutoa kauli inayofananishwa na ile ya hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere, ya kwamba chama hicho si mama yake, uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: CCM si mama yangu

JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...

 

9 years ago

IPPmedia

Former CCM legislator Lembeli rallies for opposition


IPPmedia
Former CCM legislator Lembeli rallies for opposition
IPPmedia
The contender for Kahama Urban constituency under the Chadema ticket James Lembeli who recently defected from CCM has called on the public not to vote for leaders 'simply because they are from CCM' but rather to do so on merit of their abilities.

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010

Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Sitagombea ubunge kupitia CCM

Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.

 

10 years ago

Vijimambo

Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010

Mbunge wa Kahama, James Lembeli akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na waandishi. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dodoma. Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.Lembeli, mmoja wa wabunge walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya ufisadi, alisema mpango huo ulitekelezwa kwa kueneza taarifa za kuanzisha jimbo la Ushetu ambalo alitakiwa agombee badala ya...

 

10 years ago

Daily News

Lembeli joins Chadema; claims CCM is grafttainted


Lembeli joins Chadema; claims CCM is grafttainted
Daily News
FORMER Member of Parliament (MP) for Kahama on CCM ticket, Mr James Lembeli, has announced that he is crossing over to CHADEMA, claiming that the ruling party is tainted with foul play, including corruption. Mr Lembeli, who was also Chairman of the ...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Mwanahabari aliyeitosa CCM na kuhamia Chadema

Jina la James Lembeli siyo jipya kwenye medani za siasa. Huyu ni moja ya wanasiasa waliopata umaarufu mkubwa katika kipindi cha ndani ya miaka 10 alichokaa bungeni akiwakilisha Jimbo la Kahama kwa tiketi ya CCM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani