Former CCM legislator Lembeli rallies for opposition
IPPmediaFormer CCM legislator Lembeli rallies for opposition
IPPmedia
The contender for Kahama Urban constituency under the Chadema ticket James Lembeli who recently defected from CCM has called on the public not to vote for leaders 'simply because they are from CCM' but rather to do so on merit of their abilities.
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen06 Jun
Warioba warns CCM, Ukawa on rallies
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Lembeli aichanganya CCM
WIKI moja baada ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli (CCM), kutoa kauli inayofananishwa na ile ya hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere, ya kwamba chama hicho si mama yake, uongozi...
11 years ago
Habarileo08 Apr
Lembeli aichefua CCM Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na mwanachama wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli kwamba CCM si mama yake.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Lembeli: CCM si mama yangu
JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Lembeli: CCM ilinihujumu uchaguzi 2010
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476918/highRes/844597/-/maxw/600/-/5egg5tz/-/lembeli+clip.jpg)
Dodoma. Mbunge wa Kahama, James Lembeli amemtuhumu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuph Makamba kwamba alikuwa nyuma ya mpango mahususi wa kumhujumu ili akose ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.Lembeli, mmoja wa wabunge walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya ufisadi, alisema mpango huo ulitekelezwa kwa kueneza taarifa za kuanzisha jimbo la Ushetu ambalo alitakiwa agombee badala ya...
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Lembeli: Sitagombea ubunge kupitia CCM
10 years ago
Daily News22 Jul
Lembeli joins Chadema; claims CCM is grafttainted
Daily News
FORMER Member of Parliament (MP) for Kahama on CCM ticket, Mr James Lembeli, has announced that he is crossing over to CHADEMA, claiming that the ruling party is tainted with foul play, including corruption. Mr Lembeli, who was also Chairman of the ...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Lembeli: Mwanahabari aliyeitosa CCM na kuhamia Chadema