Lembeli: Sitagombea ubunge kupitia CCM
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema
Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza Bw. Fransico Kimasa Shejamabu ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.
Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s72-c/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s640/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/L5vwVsPJDZ8/default.jpg)
10 years ago
VijimamboAmini Salimini Awania Ubunge Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Kupitia Tiketi ya CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s72-c/uwt6.jpg)
UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s640/uwt6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qr8BLuEXaR0/VcTUvg4hsHI/AAAAAAAAXRA/LP-7pk7JJVg/s640/uwt4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/THi-Jyp0Z5M/default.jpg)
10 years ago
MichuziAmini Salimini Amour Awania Ubunge Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Kupitia Tiketi ya CCM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s72-c/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA WAJUMBE KATA YA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s640/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dip-LVPmoAc/VbMSTS4FA8I/AAAAAAAASss/tpf0RH2j0gY/s640/DSCF5945%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ojaUBuq1Co/VbMSpeY56CI/AAAAAAAASt0/G0f8wmSB8PY/s640/DSCF5969%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7CIoSmTlhGA/VbMST0VISvI/AAAAAAAASs8/jJ_fkfr2kjM/s640/DSCF5944%2B%25281280x960%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Phidesia Mwakilima aibuka kidedea uchaguzi wa Ubunge wa viti maalum kupitia tiketi ya Jumuiya ya Wazazi CCM
![http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s1600/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg](http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s640/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg)
Mwanadada Phidesia Mwakilima.
Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog
Mkurugenzi wa kampuni ya Phide Entertainment ambaye pia ni Meneja masoko wa kituo cha redio Triple A ya Arusha, Phidesia Mwakilima, ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mbunge viti maalum kupitia Jumuiya ya wazazi (UWT) Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.
Phidesia Mwakilima, amepata kura 18 na kuwashinda, Aimbora Nnko, aliyepata kura 6, Angela Mwanri kura 4 na Anna John kura 2 ,uchaguzi huo umefanyika ukumbi wa...