Lembeli awatadharisha wananchi Shinyanga
Na Kadama Malunde
MGOMBEA ubunge wa Kahama mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), James Lembeli, amewataka watanzania kupuuza propaganda inayoenezwa kuwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli, ni msukuma ili kuwarubuni watu wa Kanda ya Ziwa wampigie kura.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu ujao za Ukawa katika Wilaya ya Shinyanga uliofanyika jana katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga, Lembeli alisema siyo kweli kwamba Magufuli yuko...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Apr
Lembeli aichefua CCM Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na mwanachama wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Kahama, James Lembeli kwamba CCM si mama yake.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CrHbHKc8q3k/VhK8lV8ZMKI/AAAAAAAAHQc/uL5rLBh3QOM/s72-c/14.jpg)
Team Nimes'tuka yavamia Shinyanga na kufanya mikutano na wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrHbHKc8q3k/VhK8lV8ZMKI/AAAAAAAAHQc/uL5rLBh3QOM/s640/14.jpg)
Kundi hilo linaloundwa na muunganiko wa wasanii wa filamu na muziki, limetimiza siku ya 15 ya ziara zao za Kijiji kwa Kijiji ambapo lengo kuu ni kuwastua vijana wenzao kuacha kufuata mkumbo, na badala yake kusikiliza sera kwa umakini na kupima ukweli wa...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WANANCHI KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI SHINYANGA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/14.jpg)
TEAM NIMES'TUKA YAVAMIA SHINYANGA NA KUFANYA MIKUTANO NA WANANCHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA
Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Lembeli aishukia serikali
SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...
10 years ago
TheCitizen22 Jul
Lembeli defects to Chadema