TEAM NIMES'TUKA YAVAMIA SHINYANGA NA KUFANYA MIKUTANO NA WANANCHI

Miss Tanzania 2014 Lilian Kamanzima akiongea na umati wa watu uliojitokeza kulisikiliza kundi la Nimestuka, Shinyanga Mjini jana. Mmoja kati ya viongozi wa kundi la Nimestuka, Aunt Ezekiel akiongea na wananchi katika mkutano mkutano uliofanyika Shinyanga Mjini ambapo walisimama kuhamasisha vijana wenzao kusikiliza sera kwa umakini na kumuunga mkono Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi, Dk John Magufuli. Msanii wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Team Nimes'tuka yavamia Shinyanga na kufanya mikutano na wananchi

Kundi hilo linaloundwa na muunganiko wa wasanii wa filamu na muziki, limetimiza siku ya 15 ya ziara zao za Kijiji kwa Kijiji ambapo lengo kuu ni kuwastua vijana wenzao kuacha kufuata mkumbo, na badala yake kusikiliza sera kwa umakini na kupima ukweli wa...
10 years ago
GPL
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
11 years ago
Vijimambo
KINANA ATOA WITO KWA VIONGOZI KUFANYA MIKUTANO NA WANANCHI NA KURHUSU MASWALI YANAYOHUSU MAENDELEO YAO


MBUNGE wa jimbo la Kilolo mkoani Iringa Profesa Peter Msolla akiwasalimia wananchi wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana


10 years ago
GPLDK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI
11 years ago
GPL
WANANCHI WAOMBA KITUO CHA AFYA SIMAMBWE KUFANYA KAZI SAA 24
10 years ago
GPL
WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA
11 years ago
GPLERICK 'MSENGII' NATIANOTA NA HERIETH WAMEREMETA
10 years ago
GPLFILAMU YA 'MPANGO MBAYA' INA VIWANGO VYA KIMATAIFA
11 years ago
GPL
TIGO BIMA YAZINDUA TAMTHILIA YA 'KINGA YA MOYO WANGU'