Chadema jitahidini kusafisha nyumba yenu, ni rahisi sana kunyooshea kidole wengine…!
. kila kukicha CCM wamefanya hiki au kile!
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
Kuna msemo unasema nyani haoni kundule… kwa wale wapenzi wa soka wanajua kwamba ni rahisi sana ukiwa nje ya uwanja kuanza kulalamika bhana mara angetoa pasi au angefanya hivi au vile lakini ingia wewe uwanjani uone shughuli yake!
Kwa muda mrefu katika siasa za hapa nyumbani kumekuwa na tabia ya wanasiasa na hasa kutoka vyama vya upinzani kulalamikia kuhusu mwenendo wa Chama tawala CCM kwamba kimeshindwa hiki au...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJ-4NTWjiwtd61ULJH9t9t-iGF5U*eCjgWdTKzIr2esGSzGbHE83BmTAzrETFoxBQ*LaDbN*4kNd3-EHuqD3NwG/15.jpg?width=650)
NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LayH52N-les/VT45qSZM8yI/AAAAAAAHTj4/ncjnpVcviSI/s72-c/3.jpg)
NHBRA WAGUNDUA NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA VIGAE VYA KUPAULIA NYUMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LayH52N-les/VT45qSZM8yI/AAAAAAAHTj4/ncjnpVcviSI/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VU2W685yEZw/VT45rXv--9I/AAAAAAAHTkI/tAuD_QM-Yd4/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qO1Z5jcfze8/VT45rSm6VZI/AAAAAAAHTj8/upPDV87da6c/s1600/5.jpg)
11 years ago
Michuzi22 Apr
Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Vy0mW3LU_If27f9ioP3gkooDjE85MAK-h_rjJo3XO4dv7MGW6PMZWOyGm5h2r6CRHlDpxXkZobrU4UACc9o-uLXcVXwgb7CUH6AghePN8gz4VCzrKUezTc2AiVI7wZvNGBvTgQvp9y0Etzlvz3YtDxn-v-qPOq1-FgnFYwr8bOvsNBxILNfj2OzWYnFFDtMXW0xE5dADsSTTyXoUVpIw-v0MZVFrA1FgH-jBvGICBmUGub6tpgslPgzgTclELWH-r9S_k4tWD2-rMdXZ_rn177jjch1J0pKVFMBX-1ypb7UkYJLxUubcqsVkO6GQk9yl1x5nkFEArP82rB9MzJtViOCJe74OQSmaYQA=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-fF_ne3h5XYY%2FU1YZijKrE4I%2FAAAAAAAANUk%2Flqgc3rxm7cA%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/oESitJrcddp3Zg5vvFIK33vREkY_KlOpt7S5Ba0mj5z1iJQKjDvdOjYfCWgk6YLaX10lTs8rsGELhSKujTyAyatbhif2451kczq_p8lufubAlG42j4_jvnC5HA0GUy9hgGPXjSFUczqHYvolzLSNtP1ZaEEPu4fK7_0QefK6lcp0OPtihQjynUEXDis8sKrc0i-ASX2TtkfYhVtqeA0K_seYwZxuaUWdudIVUDO8dIhgdxX-XMjRXDNa5vjPgAhaUTeq3lDRJWmmKZvN89EqTPZx-oy4F18P0Cg8T_ntI2foKmdCwJ9QLh0tJ0BAdT0z6aW5UlOmHVQcBAOBUZgNcolIPL8ihoL0TQI=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JmTTR7WUZE0%2FU1YaF0FhGLI%2FAAAAAAAANUs%2Fo_O5Rye9jHE%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA027.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xqe7Cv5Wn8xasPT640dJlhqVnsw0TpUiAdrED0pKIBffuP1hKbuJnfHqeXyGvLB4PAz9XN4U5Dhv_sgFZAv9N-wXE0HL-IM87imfqtOqjSuU6r3mjolnzm7kprzn3n1gsrFFeixlDXdu2imjAEBEVJnZouIDzznLmLE1EhKjUdd6RPM53kvxo3YL-KD9CZFBERyo-2pPav-CyoV6-67oQUd4FCPW5YDaqBY1871lGwZ5_I8f-EVTI5mIL4qYFdQQB_aeAQg0z9c6NX165rx21jLCwVmCnhrpPZ6jSN6zMiioTt_ju_zjHoFzkQ0Xp9xbLuJID2UyWaPoz7W4ggL1F1UQlP0F0fofLoU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Nre6WFW95XA%2FU1YadOCl4WI%2FAAAAAAAANU0%2FzVZSH7A8Y78%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA029.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s72-c/gdfhgdf.jpg)
WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s640/gdfhgdf.jpg)
Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...
9 years ago
VijimamboMH.LAWRENCE MASHA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM WAAHAMIA CHADEMA LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UzJXHhC7bVE/XrmSO-Ym42I/AAAAAAALp1c/59TQt1nU8RwdHUsSgX0WJ3SFn_hkU0S8ACLcBGAsYHQ/s72-c/mnyikapic.jpg)
KIMENUKA CHADEMA... WABUNGE WANNE WAFUTWA UANACHAMA, WENGINE NAO WATAKIWA KUJIELEZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UzJXHhC7bVE/XrmSO-Ym42I/AAAAAAALp1c/59TQt1nU8RwdHUsSgX0WJ3SFn_hkU0S8ACLcBGAsYHQ/s400/mnyikapic.jpg)
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwafukuza uanachama Mbunge wake Anthony Komu pamoja na Joseph Selani kwa madai licha ya kujipotezea sifa ya uanachama wameendelea kutoa maneno ya kejeli na dharau dhidi ya Chama na viongozi wake.
Pia Chama hicho kimetangaza kuwafuta unachama Mbunge David Silinde na Mbunge Wilfred Rwakatare kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuonekana kwenye vyombo vya habari na njia nyingine za mawasiliano kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MK7L-Q2r4hc/XvSpGuUvM4I/AAAAAAALvZY/qUpa1urmXqkrM-82BS7wGRVum6Skwo6mgCLcBGAsYHQ/s72-c/images%25281%2529.jpeg)
WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA WAFURAHIA ALIYEKUWA KAMANDA WA POLISI MKOA HUO KUHAMISHWA, WENGINE WASIKITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MK7L-Q2r4hc/XvSpGuUvM4I/AAAAAAALvZY/qUpa1urmXqkrM-82BS7wGRVum6Skwo6mgCLcBGAsYHQ/s400/images%25281%2529.jpeg)
WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wamefurahia uhamisho wa kikazi wa aliyekuwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna ambaye amehamishiwa katika chuo cha mafunzo ya Polisi CCP kuwa Ofisa Mnadhimu rasilimali watu,Fedha na vifaa mkoani Kilimanjaro.
Shanna ambaye alifanikiwa kutekeleza amri ya Rais John Magufuli ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa mkoani Arusha,wafuasi wa chadema wameonekana kuchekelea uhamisho huo wakidai kwamba...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nyumba ya kigogo CHADEMA yavamiwa
NYUMBA ya Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), John Heche, iliyopo Mabibo Loyola, jijini Dar es Salaam, imevamiwa na watu wasiojulikana, ambapo...